Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mwezi uliopita nlipata bahati ya kutembelea Jiji la Mbeya. Sikuishia Mjini nlienda moja ya Wilaya zilizopo Jijini humo ya Chunya na kufika katika barabara iliyo juu kabisa Katika Afrika Mashariki.
Issue ilikuwa ni kuwasindikiza Jamaa zangu Makaburu toka Kusini mwa Afrika waliokuja kufanya biashara ya Madini na Bwana Mmoja Aliyefahamika kwa jina la Sauli. Nilimpomsikia Sauli kwa mara ya kwanza nlikumbuka bwana Mmoja mwenye maduka ya SH Amon na pia nmekuwa nikitumia sana Hotels zake za Landmark. Hakuwa huyo.
Sauli huyu ni mchimbaji mkubwa wa madini ya Dhahabu huko Chunya wa miaka mingi tu. Huyu alimpa zawadi ya Dhahabu Kilo 5 mh Rais Ben Mkapa. kilo 5 ya dhahabu kama zawadi tu.
Kuwa eee bwana kiongozi... Mimi sina kitu mzee... Chukua haka kadhahabu kiasi nawe ukatengeneze chain, kwa sasa sipo vizuri. Akamkabidhi. Dhahabu Jiwe Gwala.
Nasikia wazungu waliokuwa wanafanya naye Biashara waliamua siku moja kuja mtembelea; kwa ukwasi alio nao walitegemea hata angekuwa na jeshi lake Binafsi. Walishangaa sana kumkuta yupo simple tu.
Mtu ambaye walijua kuingia kwake ingekuwa shida kwa security clearance yake mpaka kufika kumwona mmeshachoka sana, wakamkuta jamaa mshkaji tu. Walimuuliza bro hivi watu si wanaweza kukuibia madini yako yote? Akacheka sana, akasema nawakaribisha waje tu.
Wazungu wakatizamana na kuambiana, "anyway ngoja tuseme yaliyotuleta tusije onekana wambea bure" akasema "haswaaaaaa, nipeni deal"
Huyu jamaa ndio kanunua Scania kaziweka ndio usafiri wa kutoka Dar to Mbeya na Mbeya to Dar. Yeye hanunui mabasi ya mikoani ananunua Scania ( Kiduku Lilo aone) anayanunua anayafungua kwenye karatasi ndio yanaanza tumika. Scania siyo Ching Chong au Jadong. Scania
Jamaa humsikii kwenye Radio wala wapi. Ma-don wenzie ndio wanamfahamu huko ughaibuni na bondeni. Nje wanamtambua kinyama. Mimi nitamfahamia wapi mtu ambaye hafaidiki na kufahamiana nami? Aaaah we acha tu.
Jamaa ana pesa chui haruki. Acha wale machalii wa Arusha wanasema wanapesa mbwa haruki. Jamaa pesa zake Chui haruki.
Mimi nimeweka haya kuna wengine watakuja kuongezea nyama.
Issue ilikuwa ni kuwasindikiza Jamaa zangu Makaburu toka Kusini mwa Afrika waliokuja kufanya biashara ya Madini na Bwana Mmoja Aliyefahamika kwa jina la Sauli. Nilimpomsikia Sauli kwa mara ya kwanza nlikumbuka bwana Mmoja mwenye maduka ya SH Amon na pia nmekuwa nikitumia sana Hotels zake za Landmark. Hakuwa huyo.
Sauli huyu ni mchimbaji mkubwa wa madini ya Dhahabu huko Chunya wa miaka mingi tu. Huyu alimpa zawadi ya Dhahabu Kilo 5 mh Rais Ben Mkapa. kilo 5 ya dhahabu kama zawadi tu.
Kuwa eee bwana kiongozi... Mimi sina kitu mzee... Chukua haka kadhahabu kiasi nawe ukatengeneze chain, kwa sasa sipo vizuri. Akamkabidhi. Dhahabu Jiwe Gwala.
Nasikia wazungu waliokuwa wanafanya naye Biashara waliamua siku moja kuja mtembelea; kwa ukwasi alio nao walitegemea hata angekuwa na jeshi lake Binafsi. Walishangaa sana kumkuta yupo simple tu.
Mtu ambaye walijua kuingia kwake ingekuwa shida kwa security clearance yake mpaka kufika kumwona mmeshachoka sana, wakamkuta jamaa mshkaji tu. Walimuuliza bro hivi watu si wanaweza kukuibia madini yako yote? Akacheka sana, akasema nawakaribisha waje tu.
Wazungu wakatizamana na kuambiana, "anyway ngoja tuseme yaliyotuleta tusije onekana wambea bure" akasema "haswaaaaaa, nipeni deal"
Huyu jamaa ndio kanunua Scania kaziweka ndio usafiri wa kutoka Dar to Mbeya na Mbeya to Dar. Yeye hanunui mabasi ya mikoani ananunua Scania ( Kiduku Lilo aone) anayanunua anayafungua kwenye karatasi ndio yanaanza tumika. Scania siyo Ching Chong au Jadong. Scania
Jamaa humsikii kwenye Radio wala wapi. Ma-don wenzie ndio wanamfahamu huko ughaibuni na bondeni. Nje wanamtambua kinyama. Mimi nitamfahamia wapi mtu ambaye hafaidiki na kufahamiana nami? Aaaah we acha tu.
Jamaa ana pesa chui haruki. Acha wale machalii wa Arusha wanasema wanapesa mbwa haruki. Jamaa pesa zake Chui haruki.
Mimi nimeweka haya kuna wengine watakuja kuongezea nyama.