Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu anae zungumziwa hapa ni mmiliki wa mabasi ya Sauli Dar to Mbeya ambapo shughuli zake ni uchimbaji wa Dhahabu uyo ulie lala hotelini kwake ni mtu mwingne kabisaaaa ambapo yeye ni mmbunge kwa sasaMwaka 2011 nililala kwenye hoteli yake landmark pale tukuyu.
Mzee upo serious kweli?
Kumbe nilikuwa sifahamu. Shukran mkuu kwa kunisahihisha, lakini nadhani majina yao yanafanana?huyu anae zungumziwa hapa ni mmiliki wa mabasi ya Sauli Dar to Mbeya ambapo shughuli zake ni uchimbaji wa Dhahabu uyo ulie lala hotelini kwake ni mtu mwingne kabisaaaa ambapo yey n mmbunge kwa sasa
Sauli na Kilimanjaro bamba to bamba kitonga/nzomveOngezeni picha tafadhali
"Alimpa Mkapa dhahabu kilo 5 atengeneze cheni"... tuache utani, dhahabu kilo tano inalisha chunya nzima miezi kama sio miaka....
Mwaka 2011 nililala kwenye hoteli yake landmark pale tukuyu.
Anammwambafai tu, hafahamiki hata kwa mkoa wa Mbeya kama in tajiri kivile.Kwa Tanzania Yuko nafasi ya ngapi uyo
Halafu stori ya Rais kupewa dhahabu imepindishwaAnammwambafai tu, hafahamiki hata kwa mkoa wa Mbeya kama in tajiri kivile.
cc Scars
Jamaa kaipamba vizuri sana.Wabongo kwa kunogesha story tu hawajambo.
Unashangaa big Ben kupewa kilo 5!?"Alimpa Mkapa dhahabu kilo 5 atengeneze cheni"... tuache utani, dhahabu kilo tano inalisha chunya nzima miezi kama sio miaka....
Ha ha ha sawa mkuu!Unashangaa big Ben kupewa kilo 5!?
Kipindi akiwa ni waziri wa Nishati braza Ngere.. aliwahi kupewa Mbuzi wa Dhahabu huko Geita.
Konga yuko Pale Makongolosi, kachoka ile mbaya, licha ya ujeuli aliokuwa nao enzi hizo.Alikua anapenda sana mashindano ya piki piki sijui kwa saizi, kipindi kile nakumbuka alikua analipia kibali polisi kwa ajili ya kufanya battle ya pikipiki na jamaa mmoja alikua anaitwa konga
Analipiki piki lake hilo moja hatari yani umbali wa kilomita 75 ye alitumia dakika 6