Sauli: Bilionea ambaye Wazungu/Wageni wanamtambua Waswahili hatujamfahamu kabisa

Sauli: Bilionea ambaye Wazungu/Wageni wanamtambua Waswahili hatujamfahamu kabisa

Umeongea uongo mwingi, Sauli ana mabasi manne tu ambayo ameyapata kwa taratibu tu.

Kila mwaka alikua anajikongoja na kununua kabasi kamoja na mwaka huu ametoa hiyo Scania DTF.

Kuhusu upya wa mabasi umeongea uongo, mabasi yake ni ya kuchongwa Kenya ( Yamechongwa na kampuni ya AVA ila najua mtoa mada kijiweni kwenu huwa mnadanganyana zile bus ni Gemilang original)
 
Yaani ndugu yangu, umeshindwa hata kuelezea huyo Bilionea Sauli wa Mbeya ana ukwasi wa kiasi gani? Yaani kuwa na buses za Sauli na kuchimba dhahabu ni bilionea tayari? U bilionea nadhani watu wanaudharau sana, wanaona kama mchezo mchezo tu.

Sauli zile mbili tu zaidi ya billion 1.4
 
Halafu majina ya hayo mabus ni jina la mtoto wake wa Kiume ndiye anaitwa Sauli janki mmoja hivi anasomea udaktatri diploma halafu dogo yuko simpoa sana wala hajisikii.. na huwezi kumjua hata.
 
102840130_592260425010084_1321021232642787457_n.jpg
 
Acha uongo mkuu....
Tuchukulie dhahabu hii ilipatikana jana ambayo ni sawa na gram 5000
Gram 1 kwa bei ya jana soko la dunia ilikua 127,990 Tsh.
Tuchukulie hii dhahabu ilikua na Purity ya 100% (swala ambalo ni gumu lazilma iwe pungufu)

So
5000*100%*127,990=136,950,000Tsh.
Je hii fedha unailisha chunya kwa miezi au mwaka??

Kilo tano ni zaidi ya 600 Mil kwa soko la sasa mkuu. Rudia hesabu.
 
Story nzima nilikuwa napatafuta utapoandika eti ana pesa kuliko wakina MO walahi ningepigwa BAN huu ujinga nauonaga sana vijiweni huku.

Tz wenye pesa ni wengi sanaaa tena sanaaa ila ni level za u-millionare/Mult millionaire kuwa Billionaire ni kitu kingine kabisa hapa Duniani.
 
Story nzima nilikuwa napatafuta utapoandika eti ana pesa kuliko wakina MO walahi ningepigwa BAN huu ujinga nauonaga sana vijiweni huku.

Tz wenye pesa ni wengi sanaaa tena sanaaa ila ni level za u-millionare/Mult millionaire kuwa Billionaire ni kitu kingine kabisa hapa Duniani.
Dogo hebu soma UE keshokutwa usije ukapata sup buree maana kutwa kucha upo jf tu
 
Back
Top Bottom