Sauli: Bilionea ambaye Wazungu/Wageni wanamtambua Waswahili hatujamfahamu kabisa

Yaani bilionea atoke chunya?? Mmmmmhhhhh, maana chunya dhahabu zenyewe ni za kutafutiza kweli kweli...nimewahi kuchimba miaka ya 2000 mwanzoni maeneo ya iwalanje ifwenkenya na makongorosi...daah acha tu
Kiongozi sikupingi juu ya experience yako. Ila naomba utambue na unielewe kabisa CHUNYA KUNA MADINI YASIYO HATA NA MPANGO WA KUISHA LEO WALA MWAKANI naomba uamini hivyo NA jua lililokupata ilikua bahati mbaya tu
 
Pesa za malikale za rupia na sio za kustruggle
 
Ni Hadi ukajitangaze Forbes ndo utajulikana
 
"Sauli huyu ni mchimbaji mkubwa wa madini ya Dhahabu huko Chunya wa miaka mingi tu. Huyu alimpa zawadi ya Dhahabu Kilo 5 mh Rais Ben Mkapa. kilo 5 ya dhahabu kama zawadi tu."
Hii statement si ya kweli.[emoji121]
 
Halafu majina ya hayo mabus ni jina la mtoto wake wa Kiume ndiye anaitwa Sauli janki mmoja hivi anasomea udaktatri diploma halafu dogo yuko simpoa sana wala hajisikii.. na huwezi kumjua hata.
Acha uongo mkuu.
 
Mbona Kama analazimisha tumuelewe wakati inaonekana kabisa huyo mtu bado. Au ndo wivu tu kushindana na wakaskazini.
 
Yaani bilionea atoke chunya? Mmhhhh, maana chunya dhahabu zenyewe ni za kutafutiza kweli kweli ... nimewahi kuchimba miaka ya 2000 mwanzoni maeneo ya iwalanje ifwenkenya na makongorosi ... daah acha tu
Ulitumia nini kuchimba ukakosa?
 
Kiongozi sikupingi juu ya experience yako. Ila naomba utambue na unielewe kabisa CHUNYA KUNA MADINI YASIYO HATA NA MPANGO WA KUISHA LEO WALA MWAKANI naomba uamini hivyo NA jua lililokupata ilikua bahati mbaya tu
Dhahabu pesa yake mbuzi tu,nenda kahama na geita matajiri wa dhahabu wanamiliki lodge na mafuso
 
Hahahahahahhaha habari hizi bhana, huyomtu umemtaja hapa kwa chunya ni mdogo saana sana tena. Doo anayo yakucheba lakin anaweza hata asiwe top 5 ya wenye pesa chunya. Umemkuza sana lakin nazan nikwakuw hukuamua kufanya tafiti ndogo tu. Ila bus kweli ni mpya na brand za kutisha scania na Volvo hana utumbo kule piah ni mpya kabisa. Gari moja karibu 1B eti inagharimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…