Kiongozi sikupingi juu ya experience yako. Ila naomba utambue na unielewe kabisa CHUNYA KUNA MADINI YASIYO HATA NA MPANGO WA KUISHA LEO WALA MWAKANI naomba uamini hivyo NA jua lililokupata ilikua bahati mbaya tuYaani bilionea atoke chunya?? Mmmmmhhhhh, maana chunya dhahabu zenyewe ni za kutafutiza kweli kweli...nimewahi kuchimba miaka ya 2000 mwanzoni maeneo ya iwalanje ifwenkenya na makongorosi...daah acha tu
Wewe umeona body ya marcopolo kwenye chassis ya scania ukajua umeona scania bus!I see. Ina maana zile basi za Dar Express, Mtei na Kilimanjaro hukujua kwamba ni Scania? Itakuwa unaishi porini sana [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji115] [emoji115]
Pesa za malikale za rupia na sio za kustruggleMwezi uliopita nlipata bahati ya kutembelea Jiji la Mbeya. Sikuishia Mjini nlienda moja ya Wilaya zilizopo Jijini humo ya Chunya na kufika katika barabara iliyo juu kabisa Katika Afrika Mashariki.
Issue ilikuwa ni kuwasindikiza Jamaa zangu Makaburu toka Kusini mwa Afrika waliokuja kufanya biashara ya Madini na Bwana Mmoja Aliyefahamika kwa jina la Sauli. Nilimpomsikia Sauli kwa mara ya kwanza nlikumbuka bwana Mmoja mwenye maduka ya SH Amon na pia nmekuwa nikitumia sana Hotels zake za Landmark. Hakuwa huyo.
Sauli huyu ni mchimbaji mkubwa wa madini ya Dhahabu huko Chunya wa miaka mingi tu. Huyu alimpa zawadi ya Dhahabu Kilo 5 mh Rais Ben Mkapa. kilo 5 ya dhahabu kama zawadi tu.
Kuwa eee bwana kiongozi... Mimi sina kitu mzee... Chukua haka kadhahabu kiasi nawe ukatengeneze chain, kwa sasa sipo vizuri. Akamkabidhi. Dhahabu Jiwe Gwala.
Nasikia wazungu waliokuwa wanafanya naye Biashara waliamua siku moja kuja mtembelea kwa ukwasi alio nao walitegemea hata angekuwa na jeshi lake Binafsi. Walishangaa sana kumkuta yupo simple tu.
Mtu ambaye walijua kuingia kwake ingekuwa shida kwa security clearance yake mpaka kufika kumwona mmeshachoka sana... wakamkuta jamaa mshkaji tu... walimuuliza Bro hivi watu si wanaweza kukuibia madini yako yote? Akacheka sana... akasema nawakaribisha waje tu.
Wazungu wakatizamana na kuambiana... "anyway ngoja tuseme yaliyotuleta tusije onekana wambea bure" akasema "haswaaaaaa...nipeni deal"
Huyu jamaa ndio kanunua Scania kaziweka ndio usafiri wa kutoka Dar to Mbeya na Mbeya to Dar. Yeye hanunui mabasi ya mikoani ananunua Scania ( Kiduku Lilo aone ) anayanunua anayafungua kwenye karatasi ndio yanaanza tumika. Scania....siyo ching chong au jadong. Scania
Jamaa humsikii kwenye Radio wala wapi ma Don wenzie ndio wanamfahamu huko ughaibuni na bondeni. Nje wanamtambua kinyama.... Mimi nitamfahamia wapi mtu ambaye hafaidiki na kufahamiana nami? Aaaah we acha tu.
Jamaa ana pesa chui haruki. Acha wale machalii wa Arusha wanasema wanapesa mbwa haruki. Jamaa pesa zake Chui haruki.
Mimi nimeweka haya kuna wengine watakuja kuongezea nyama.........
Yote ya nn,nikichonga mwenyewe body classic napata bus 10Sauli zile mbili tu zaidi ya billion 1.4
Ni Hadi ukajitangaze Forbes ndo utajulikanaStory nzima nilikuwa napatafuta utapoandika eti ana pesa kuliko wakina MO walahi ningepigwa BAN huu ujinga nauonaga sana vijiweni huku.
Tz wenye pesa ni wengi sanaaa tena sanaaa ila ni level za u-millionare/Mult millionaire kuwa Billionaire ni kitu kingine kabisa hapa Duniani.
Acha uongo mkuu.Halafu majina ya hayo mabus ni jina la mtoto wake wa Kiume ndiye anaitwa Sauli janki mmoja hivi anasomea udaktatri diploma halafu dogo yuko simpoa sana wala hajisikii.. na huwezi kumjua hata.
Sii papaaa king auTriple A ni ya nani bro? naona we umedandia gari kwa mbele....
hii ndiyo comment sasaYatupasa nasi kutafuta hela ili nasi tusimuliwe Kama kina Sauli
Ila mshikaji mbishi sana I see! [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]lordchimkwese,
kilomita 75 kwa nusu saa, samahani hapa ulikua unazungumzia guta?
Wewe umeona body ya marcopolo kwenye chassis ya scania ukajua umeona scania bus!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Ulitumia nini kuchimba ukakosa?Yaani bilionea atoke chunya? Mmhhhh, maana chunya dhahabu zenyewe ni za kutafutiza kweli kweli ... nimewahi kuchimba miaka ya 2000 mwanzoni maeneo ya iwalanje ifwenkenya na makongorosi ... daah acha tu
SululuUlitumia nini kuchimba ukakosa?
Afu baada ya hapo ukawa unasekesa au unasambaza?Sululu
Nikawa nasekesaAfu baada ya hapo ukawa unasekesa au unasambaza?
Dhahabu pesa yake mbuzi tu,nenda kahama na geita matajiri wa dhahabu wanamiliki lodge na mafusoKiongozi sikupingi juu ya experience yako. Ila naomba utambue na unielewe kabisa CHUNYA KUNA MADINI YASIYO HATA NA MPANGO WA KUISHA LEO WALA MWAKANI naomba uamini hivyo NA jua lililokupata ilikua bahati mbaya tu