uwezo wa kufikiri kwa watanzania wengine ?????????. Unamuona mtu yupo mgodini na ana mabasi ya Ulaya say 10, you just conclude kuwa huyo mtu ni tajiri!
Utajiri unaongelewa kwa NAMBA. Nikiwa na maana mngeniambia:
1. net worthy ya Sauli ni kiasi gani,
2. hayo mabasi amenunua cash au ni mkopo na kama ni mkopo upo secured na mali zipi za Sauli?
3. Onyesha basi hata after tax profit ya kampuni za/yake kwa miaka hata 5 ili tuwe na uhakika kwamba huyu bwana ni tajiri.
Nasema hivyo kwa sababu unaweza kuta Sauli hana hata basi moja la kwake, kwamba ile fleet ni ya wapiga deal, wanatakatisha pesa. Wapiga deal kama:
1. Lugola na Ande - proceeds za mgao wa deal lao
2. Chenge na yule jaji aliyekuwa AG - proceeds za mgao wa escrow
3. Bashite Proceeds ya kodi aliyokwepa kwenye makontenna ya samani alizoingiza kutoka Marekani
4. Mzee wa mjengoni aliyelipwa Tshs. 12b/= kwa ajili ya matibabu India nk.
Simdharau au kukakataa kwamba Sauli hawezi kumiliki huo ukwasi, ila nataka uonyeshe ushahidi.