Sauli na Al Saedy vinara wa ligi ngumu ya Dar es Salaam - Mbeya

Katoe ujinga wa mama yako kwanza.

Bongo hakuna gemilang original, zote za rungwe,sauli na tahmeed zimechongwa hapo nairobi, nilibishia kama ww baada ya kufanya research nikapata ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Zimekuwa assembled na si kuchongwa kama unavyomaanisha....yani material ya body yanakuja yakiwa complete....wao wanaziunganisha tu na chassis hapo hapo kenya. Hiyo ni mechanism ya Gemilang ku expand in Africa wakaamua kushirikiana na AVA ya Kenya.
 
kisbo pekee aliyebaki anafanya vizuri kanda ya ziwa ni kangi lugola wa Kahama wengine wote cha mende,, wafalme wa Mwanza-Dar ni Allys, Tungiz na Happy nation hao wengine waliobaki hata wakifika ubungo saa 8 hawajali
Hakuna anayetia mguu kwa Allys kwa sasa njia ya Mwanza
 
Al saedy kasanda
 
Masuki yupo dar express kumbe
 
Anahangaika tu sasa ivi huyo tava
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…