SAUT Mwanza yasimamisha wanafunzi 8!

SAUT Mwanza yasimamisha wanafunzi 8!

Kuibia mtihan nikosa la jinai na adhabu yake ni kufukuzwa chuo na kufungiwa masomo miaka 5. Achen siasa kile chuo kizur sana kinatenda ipasavyo hata kama ungekuwa ifm au udsm hata chuo chochote wangefukuzwa tu ndo sheria nyie mnataka ubabaishaji. Afu suala la ada nan alokwambia chuon kuna bagain ya ada hamna shukuran kunachuogan cha private kinalipa ada ndogo kama saut au mnaongea t.mnajua ada ya arusha university ilivyokubwa na michango mingne ya ziada na maxngra magum ya kusomea. Na hakunachuo kinachoruhusu kudanya mtihan kama hujamaliza ada hata 100 labda vya serikali.achen kuingia na vbut serious in studying.
Hapo kwenye red unafahamu maana ya kosa la jinai? Katika kosa la jinai mlalamikaji ni nani?
 
Unajua kuna discontinue na disqualified!! Discontinue unarudia mwaka!! But disqualified ndo inakubidi ukae kitaa miaka mitatu,zen kaombe chuo chochote tena kwa tz! But kama mshua yuko njema waweza soma nje!! So hawa jamaa wame discontinue!!!
acha uongo ukidisco hurudii mwaka mwaka labda vyuo vya kata.
 
Saut inasemekana now kuna uhaba wa pesa (tetesi) hata penalty za vitu kama mavazi na utovu mwingine wa nidhamu zipo nje nje. Wana miradi, wana walimu, walinzi, wafagiaji, mafundi na masista. Kiufupi hivyo vitu haviwezi jiendesha ndo maana linatokea hili. Usishangae sana bwana Mawazo. Ni taratibu na ushauri walioupata katika ngazi zao.

Hata mimi dogo kaniambia!! Saut hawana pesa, hadi VC ka resign
 
Sasa mnalalamikia nini?.......
Siku zote Vyuo vikuu Mwanafunzi akikamatwa na chochote kisichohitajika kwenye mtihani no debate, Ni Kuwa Discontinued!!.
Wasiofaa wasivumiliwe!!.
 
mnaongea ya kweli na ya uongo. msitie chumvi ulizeni waliosoma au wanaosoma sasa. nlikua pale 2008/2011
 
Back
Top Bottom