Sauti kubwa: Kimya makaburini hakileti amani

Sauti kubwa: Kimya makaburini hakileti amani

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Sikiliza kauli ya Ansbert Ngurumo kuhusu haya yanayoendelea ya kuteka na kuua watu!

Katika mambo haya yanayotokea sasahivi katika Nchi yetu. Madhira tunayopitia kutekwa, kuteswa, kuuwawa wa raia wezetu kwa sababu wote tunafahamu ni za kisiasa.

Katika ushirika huu wa uhalifu kati ya Serikali, Mahakama na Bunge. Katika sauti hafifu tunazosikia zikitoka kutetea wanyonge na kukemea wababe. Katika yote haya ni nani anafikiri yupo salama? Nauliza swahili hili utalijibu mwenyewe.

Katika tafakuli hii kuna watu wamenikumbusha madhira yaliowahi kutokea katika nchi El Salvador kule katika nchi Latin Amerika miaka ya 70 ilishuhudia mambo kama haya watala wababe, wanatumia majeshi na vikosi vyao vya watu wasiojulikana, kuteka, kuua na kugandamiza na kunyanyasa raia na kupoteza raia.
 
Back
Top Bottom