Sauti kutoka ndani inaniambia mkoa wa Chato upo mbioni kutangazwa

Sauti kutoka ndani inaniambia mkoa wa Chato upo mbioni kutangazwa

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Poleni sana ndugu zangu wachagga najua inauma na itawaumiza sana Chato kuwa mkoa kabla ya Moshi kuwa jiji lakini tambueni kwamba vigezo vya sehemu kuwa mkoa sio sawa na vile kuifanya sehemu kuwa jiji na ndio maana majiji yapo matano ila mikoa ipo 26.

Niende kwenye mada baada ya salamu za utangulizi. Leo hii nimekuja na sauti kutoka ndani ambazo muasisi wake ni Pascal kwa hapa JF ambaye hutumia neno la kimombo 'voices from within' lakini ukweli sauti hizi huwa ni za kweli usipozitilia mashaka yoyote.

Kuna sauti kutoka ndani inaniambia ziara ya mama yetu ,Rais wetu mpendwa mkoani Geita kuanzia siku ya kesho itaambatana na tukio la shangwe kuu nalo ni mkoa mpya wa Chato. Hivyo hesabu itasomeka hivyo.

Napenda kuwasilisha sauti hii ninayoisikia imenitesa sana mpaka kuisema hapa nimetua mzigo mzito masikioni

Mungu ibariki Tanzania ,Mungu mbariki Samia.
 
Ukiwataja Wachagga au cdm hasa in a negative way, unakuwa kwenye mazingira mazuri ya jambo lako kufanyiwa kazi na serikali ya CCM. Kwahiyo usijali mnaweza kupewa mkoa ili hao Wachagga waumie.
 
Poleni sana ndugu zangu wachagga najua inauma na itawaumiza sana Chato kuwa mkoa kabla ya Moshi kuwa jiji lakini tambueni kwamba vigezo vya sehemu kuwa mkoa sio sawa na vile kuifanya sehemu kuwa jiji na ndio maana majiji yapo matano ila mikoa ipo 26.

Niende kwenye mada baada ya salamu za utangulizi. Leo hii nimekuja na sauti kutoka ndani ambazo muasisi wake ni Pascal kwa hapa JF ambaye hutumia neno la kimombo 'voices from within' lakini ukweli sauti hizi huwa ni za kweli usipozitilia mashaka yoyote.

Kuna sauti kutoka ndani inaniambia ziara ya mama yetu ,Rais wetu mpendwa mkoani Geita kuanzia siku ya kesho itaambatana na tukio la shangwe kuu nalo ni mkoa mpya wa Chato. Hivyo hesabu itasomeka hivyo.

Napenda kuwasilisha sauti hii ninayoisikia imenitesa sana mpaka kuisema hapa nimetua mzigo mzito masikioni

Mungu ibariki Tanzania ,Mungu mbariki Samia.

Sorry mm sio mtu wa huko lakin i wonder why wachagga waukie na chato wkt wako way forward than chato? Kwa kipi hasa chato walichonacho wawatishie wachaga?
 
hapana ndio itapendeza Zaidi sababu eneo la utawala litabaki dogo na bajeti kusatisfy vizuri
Well...kwasababu ni jambo linaloenda kuongeza ajira nitamuunga mkono Samia iwapo atatangaza hilo.

Mimi ni muumini wa "Ajira kwa wote Tanzania"
 
Poleni sana ndugu zangu wachagga najua inauma na itawaumiza sana Chato kuwa mkoa kabla ya Moshi kuwa jiji lakini tambueni kwamba vigezo vya sehemu kuwa mkoa sio sawa na vile kuifanya sehemu kuwa jiji na ndio maana majiji yapo matano ila mikoa ipo 26.

Niende kwenye mada baada ya salamu za utangulizi. Leo hii nimekuja na sauti kutoka ndani ambazo muasisi wake ni Pascal kwa hapa JF ambaye hutumia neno la kimombo 'voices from within' lakini ukweli sauti hizi huwa ni za kweli usipozitilia mashaka yoyote.

Kuna sauti kutoka ndani inaniambia ziara ya mama yetu ,Rais wetu mpendwa mkoani Geita kuanzia siku ya kesho itaambatana na tukio la shangwe kuu nalo ni mkoa mpya wa Chato. Hivyo hesabu itasomeka hivyo.

Napenda kuwasilisha sauti hii ninayoisikia imenitesa sana mpaka kuisema hapa nimetua mzigo mzito masikioni

Mungu ibariki Tanzania ,Mungu mbariki Samia.
nchi hii ina makabila mangapi. km una ugomvi na mchaga moja acha kutumia umma wote wa watanzania. moderators haya mambo kwanini mnayaruhusu? lindeni umoja wa kitaifa kwa gharama yoyote ile
 
Back
Top Bottom