Sauti Sol wamekubali kujiunga Freemasons?

Sauti Sol wamekubali kujiunga Freemasons?

nakuombea upate kazi ya kufanya uwache kuchunguza maisha ya watu usiwe mtu wa kuhukumu watu kwa yale unaoyaona kuwa mtoto wa kiume bana
 
nakuombea upate kazi ya kufanya uwache kuchunguza maisha ya watu usiwe mtu wa kuhukumu watu kwa yale unaoyaona kuwa mtoto wa kiume bana
Siku zote shetani anawafuasi wengi . Treni linaendelea kupata abiria wa kutosha.
 
Ulimwengu unaoonekana unaongozwa na ulimwengu usionekana kwa 100%.( Spiritual realm).

Nguvu ya roho wa Mungu hutoa yale ya ki Mungu na ya roho mchafu hutoa matunda ya kishetani. Ni wachache wanaoweza kugundua kwani mambo haya huja kwa namna ya usiri mkubwa.

Sauti soul wametoa wimbo wao uitwao "THE MIDNIGHT TRAIN". Kwa tulipata neema ya kuyajua mambo ya kiroho, hili ni garimoshi la wachawi na jamii za siri za kishetani km Freemasons ambao hulitumia kwa ajili ya kwenda kuzimu kufanya mambo yao. Pia treni hili hutumika na wachawi kusafirishia Misukule.

Sasa kwanini wametunga wimbo huu? Hiyo ni siri yao.Msione umaarufu wao unaongeza siku hadi siku mkazani ni bure bure. There is something going on between these guys and the Dark world.

Watch out guys! Si kila kitu ni cha kusikiliza na kutazama. Others are too demonic. Picha ya wimbo wenyewe inasadifu kila kitu nilichokieleza.


View attachment 1469992
Huo mwezi hapo kwenye picha una maana kubwa sana​
Kwa hyo Tukusaidiaje?
 
THE MIDNIGHT TRAIN". Kwa tulipata neema ya kuyajua mambo ya kiroho, hili ni garimoshi la wachawi na jamii za siri za kishetani km Freemasons ambao hulitumia kwa ajili ya kwenda kuzimu kufanya mambo yao. Pia treni hili hutumika na wachawi kusafirishia Misukule.

Jr[emoji769]
Wewe jamaa muongo sana
 
Ulimwengu unaoonekana unaongozwa na ulimwengu usionekana kwa 100%.( Spiritual realm).

Nguvu ya roho wa Mungu hutoa yale ya ki Mungu na ya roho mchafu hutoa matunda ya kishetani. Ni wachache wanaoweza kugundua kwani mambo haya huja kwa namna ya usiri mkubwa.

Sauti soul wametoa wimbo wao uitwao "THE MIDNIGHT TRAIN". Kwa tulipata neema ya kuyajua mambo ya kiroho, hili ni garimoshi la wachawi na jamii za siri za kishetani km Freemasons ambao hulitumia kwa ajili ya kwenda kuzimu kufanya mambo yao. Pia treni hili hutumika na wachawi kusafirishia Misukule.

Sasa kwanini wametunga wimbo huu? Hiyo ni siri yao.Msione umaarufu wao unaongeza siku hadi siku mkazani ni bure bure. There is something going on between these guys and the Dark world.

Watch out guys! Si kila kitu ni cha kusikiliza na kutazama. Others are too demonic. Picha ya wimbo wenyewe inasadifu kila kitu nilichokieleza.


View attachment 1469992
Huo mwezi hapo kwenye picha una maana kubwa sana​
kwani hii picha si mtu kapewa kazi ya kudesign
wenda walipewa design tofautitofauti wao wakapenda hii au🙂🙂🙂
 
kwani hii picha si mtu kapewa kazi ya kudesign
wenda walipewa design tofautitofauti wao wakapenda hii au🙂🙂🙂
Shetani hufanya kazi yake kupitia watu km ambavyo Mungu hutumia watu pia. We ulitegemea achore shetani mwenyewe ndo uamini? Siku zote shetani anataka msiamini km yupo ndio maana anatumia mazingira ambayo ni vigumu mtu wa kawaida kuelewa. Only spiritual people can understand.
 
"Midnight Train"

Steady rocking on the midnight train
Steady rocking on the midnight train
Oh, Lord, steady rocking on the midnight train
To Zion, to Zion

Hii maisha ni safari
Tunapita kama moshi
Na kabla tuzame mchangani
Kuna kushinda na kufeli oh
Inabidi ujijue tofauti ya mwalimu na mwanafunzi
Ni ujuzi na ujuaji

Oh it's unbelievable
That we make it this far
Undeniable
We see the promised land from afar
And it's so beautiful
No they can't touch the fire
And you know it's not in vain
We steady tripping through the pain

Steady rocking on the midnight train
Steady rocking on the midnight train
Oh, Lord, steady rocking on the midnight train
To Zion, to Zion

Siku zazidi badilika
Mengi Yazidi kunipita jamani oh no
Maji yalipozidi unga
Hawakudhani tutafika fika

It's unbelievable
That we made it this far
Undeniable
To see the promised land from afar
So beautiful
They gon' know who we are
Keep on walking in the rain
Kuna blessings in the pain

Steady rocking on the midnight train
Steady rocking on the midnight train
Oh, Lord, steady rocking on the midnight train
To Zion, to Zion

It's a narrow road to Zion
Nothing will ever deny us
Whatever it takes keep on walking
Whatever it takes keep on moving
To Zion, to Zion, to Zion

Steady rocking on the midnight train
Steady rocking on the midnight train
Oh, Lord, steady rocking on the midnight train
To Zion, to Zion

Steady rocking on the midnight train
Steady rocking on the midnight train
Oh, Lord, steady rocking on the midnight train
To Zion, to Zion

Ulimwengu unaoonekana unaongozwa na ulimwengu usionekana kwa 100%.( Spiritual realm).

Nguvu ya roho wa Mungu hutoa yale ya ki Mungu na ya roho mchafu hutoa matunda ya kishetani. Ni wachache wanaoweza kugundua kwani mambo haya huja kwa namna ya usiri mkubwa.

Sauti soul wametoa wimbo wao uitwao "THE MIDNIGHT TRAIN". Kwa tulipata neema ya kuyajua mambo ya kiroho, hili ni garimoshi la wachawi na jamii za siri za kishetani km Freemasons ambao hulitumia kwa ajili ya kwenda kuzimu kufanya mambo yao. Pia treni hili hutumika na wachawi kusafirishia Misukule.

Sasa kwanini wametunga wimbo huu? Hiyo ni siri yao.Msione umaarufu wao unaongeza siku hadi siku mkazani ni bure bure. There is something going on between these guys and the Dark world.

Watch out guys! Si kila kitu ni cha kusikiliza na kutazama. Others are too demonic. Picha ya wimbo wenyewe inasadifu kila kitu nilichokieleza.


View attachment 1469992
Huo mwezi hapo kwenye picha una maana kubwa sana​
Inakubidi uachage na Ujinga..! Inaonesha hata nyimbo hukuielewa.

Sasa tuambie ni dini ipi wewe unaitetea.. Au we ndo Freemason mwenyewe unakuja kujitangaza huku?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
We unadhani ni lile treni lenu la kwendea Gamboshi..[emoji23][emoji23][emoji23]

Unaijua nyimbo ya panda treni ya the voice..?

Ulimwengu unaoonekana unaongozwa na ulimwengu usionekana kwa 100%.( Spiritual realm).

Nguvu ya roho wa Mungu hutoa yale ya ki Mungu na ya roho mchafu hutoa matunda ya kishetani. Ni wachache wanaoweza kugundua kwani mambo haya huja kwa namna ya usiri mkubwa.

Sauti soul wametoa wimbo wao uitwao "THE MIDNIGHT TRAIN". Kwa tulipata neema ya kuyajua mambo ya kiroho, hili ni garimoshi la wachawi na jamii za siri za kishetani km Freemasons ambao hulitumia kwa ajili ya kwenda kuzimu kufanya mambo yao. Pia treni hili hutumika na wachawi kusafirishia Misukule.

Sasa kwanini wametunga wimbo huu? Hiyo ni siri yao.Msione umaarufu wao unaongeza siku hadi siku mkazani ni bure bure. There is something going on between these guys and the Dark world.

Watch out guys! Si kila kitu ni cha kusikiliza na kutazama. Others are too demonic. Picha ya wimbo wenyewe inasadifu kila kitu nilichokieleza.


View attachment 1469992
Huo mwezi hapo kwenye picha una maana kubwa sana​
 
"Midnight Train"

Steady rocking on the midnight train
Steady rocking on the midnight train
Oh, Lord, steady rocking on the midnight train
To Zion, to Zion

Hii maisha ni safari
Tunapita kama moshi
Na kabla tuzame mchangani
Kuna kushinda na kufeli oh
Inabidi ujijue tofauti ya mwalimu na mwanafunzi
Ni ujuzi na ujuaji

Oh it's unbelievable
That we make it this far
Undeniable
We see the promised land from afar
And it's so beautiful
No they can't touch the fire
And you know it's not in vain
We steady tripping through the pain

Steady rocking on the midnight train
Steady rocking on the midnight train
Oh, Lord, steady rocking on the midnight train
To Zion, to Zion

Siku zazidi badilika
Mengi Yazidi kunipita jamani oh no
Maji yalipozidi unga
Hawakudhani tutafika fika

It's unbelievable
That we made it this far
Undeniable
To see the promised land from afar
So beautiful
They gon' know who we are
Keep on walking in the rain
Kuna blessings in the pain

Steady rocking on the midnight train
Steady rocking on the midnight train
Oh, Lord, steady rocking on the midnight train
To Zion, to Zion

It's a narrow road to Zion
Nothing will ever deny us
Whatever it takes keep on walking
Whatever it takes keep on moving
To Zion, to Zion, to Zion

Steady rocking on the midnight train
Steady rocking on the midnight train
Oh, Lord, steady rocking on the midnight train
To Zion, to Zion

Steady rocking on the midnight train
Steady rocking on the midnight train
Oh, Lord, steady rocking on the midnight train
To Zion, to Zion

Inakubidi uachage na Ujinga..! Inaonesha hata nyimbo hukuielewa.

Sasa tuambie ni dini ipi wewe unaitetea.. Au we ndo Freemason mwenyewe unakuja kujitangaza huku?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
The Bible says"My people are perishing because of their ignorance".Hosea 4:6

Inamaana we uligemea Sauti Sol watunge wimbo unaosema njoo mpande treni twendeni Jehanamu(Hell) ili uamini kwamba wanachokifanya ni cha kishetani? Shetani ni mjanja hawezi fanya hivyo.

Mtu wa kawaida asiye na ufahamu wowote wa kimaandiko hawezi kuelewa chochote kwenye huo wimbo.

Kwa tafsiri ya kawaida utaona Sauti Sol wametunga wimbo huu wakimshuru Mungu kwa kuwazesha kuwafikisha katika nchi ya ahadi( Zion) baada kuhimili vikwazo vingi na sasa wame Rock kwenye Midnight Train wakielekea nchi ya ahadi( kuyafikia mafanikio).

Je unazani Mungu huyu wa mbinguni ndiye aliyewapa hayo mafanikio ya mziki wa dunia na kuwafikisha nchi ya ahadi wanayoitaja?

Mungu wa mbinguni hahusiki na mziki unaosifia pombe, mapenzi,ukahaba,fedha na uhuni mwingine.

Shetani ni mjanja sana.Anajua mwanadamu anahofu na Mungu anachofanya ni kumchanganya changanya ashindwe kujua kweli ni ipi. Leo Sauti Sol. watakuimbia Extravaganza,Kesho Suzanna,Kesho kutwa Midnight Train. Lakini kiini cha mziki wao unabaki pale pale kuwa ni ushetani. Ndio maana kwenye video zao utaona kuna mandhari ya disco- Club wakiwa wamezungukwa na wadada waliovaa nusu utupu. Je hiyo ndo nchi ya ahadi iliyotajwa kwenye Biblia?

Sauti Sol si wanamziki wa kwanza kuimba nyimbo na kumshukuru mungu baada ya kuyafikia mafanikio. Hapa TZ karibu kila msanii mkubwa unaemfahamu amewahi imba wimbo wa namna hiyo.

Mungu wanaemtaja si huyu tunaemfahamu sisi wote.Tambua katika ulimwengu wa Giza shetani hujiita na kujifananisha na Mungu pia.Hivyo funguka usikalili si kila ving'aavyo ni dhahabu.

Nimefurahi ulivyoambatanisha na huo wimbo wa kwaya unaosema treni ya Mbinguni. Km ambavyo kuna treni ya mbinguni vivyo hivyo kuna treni ya kwenda Jehanamu ( Kuzimu). Huwezi panda treni ya kwenda mbinguni km unaimba nyimbo kusifia ngono,wanawake,pombe,chuki uadui,fedha n.k. kinyume chake utapanda treni la kukupeleka kuzimu.

Utawezaje kupanda treni la kuzimu kwa kusikiliza nyimbo za kidunia,kufanya zinaa,ulevi, kueneza chuki, na kufanya anasa zingine km kucheza kamali n.k.

Mbinguni tunaenda kwa kufanya kinyume na niliyoyataja. Kufanya ibada,kusoma Biblia, , kuwahubiri watu waliopotea,na kutenda mambo mema kwa ujumla.

Nazani umeelewa sasa. Je upo tayari kupanda treni ya Sauti Sol Midnight Train wakupeleke kwenye nchi yao ya ahadi? Au utapanda treni la hiyo kwaya iliyoambatanisha mwishoni? Maamuzi ni yako.

Ndio maana mwanzo nilisema only Spiritual people will understand me
 
Kwa hiyo mkuu Suzanna ameenda kupanda midnight train?
Sio suzana ni wafuasi wanaomshabikia . Suzana is there as a bait (Chambo)or trap.

Wasani wote wa kidunia ni Chambo ya kuwakamata vijana ili watumie mda mchache kujadili mambo ya Mungu badala yake watumie mda mwingi kujadili Wema na Diamondi,Ali Kiba na Diamondi n.k mwisho unamuiga Diamondi tabia zake za umalaya, mavazi n.k. Ndio wengi hawajui habari za Mungu lakini wajua jana Diamondi Kalala wapi na mwanamke gani.Lakini ukimwambia kucheza kamali ni dhambi kijana hajui chochote kwa sababu ya ujinga wa maandiko

Tabia ya mtu ni matokeo ya kile anachokitazama na kukisikiliza. Jiulize ni watu gani waliowafundisha vijana kujichora tattoo km sio wanamziki. Biblia imekataza mwanadamu kujichora tattoo.

Usione mdada anatembea nusu uchi hayo ni matokeo ya kuangalia miziki ya kisasa na picha chafu. Hilo ndio treni la kuzimu. Halionekani kwa macho ya nyama bali ya rohoni
 
Sio suzana ni wafuasi wanaomshabikia . Suzana is there as a bait (Chambo)or trap.

Wasani wote wa kidunia ni Chambo ya kuwakamata vijana ili watumie mda mchache kujadili mambo ya Mungu badala yake watumie mda mwingi kujadili Wema na Diamondi,Ali Kiba na Diamondi n.k mwisho unamuiga Diamondi tabia zake za umalaya, mavazi n.k. Ndio wengi hawajui habari za Mungu lakini wajua jana Diamondi Kalala wapi na mwanamke gani.Lakini ukimwambia kucheza kamali ni dhambi kijana hajui chochote kwa sababu ya ujinga wa maandiko

Tabia ya mtu ni matokeo ya kile anachokitazama na kukisikiliza. Jiulize ni watu gani waliowafundisha vijana kujichora tattoo km sio wanamziki. Biblia imekataza mwanadamu kujichora tattoo.

Usione mdada anatembea nusu uchi hayo ni matokeo ya kuangalia miziki ya kisasa na picha chafu. Hilo ndio treni la kuzimu. Halionekani kwa macho ya nyama bali ya rohoni
Mkuu una hasira sana.
Kunywa kikombe cha chai.
 
Mkuu una hasira sana.
Kunywa kikombe cha chai.
[emoji38][emoji38][emoji38] sipendi kuona mtu akitetea dhambi. Watu wengi waangamia kwa ujinga next time ntakuja na uzi asili ya neno Diamond Platinumz na jinsi alivyopewa.
 
Back
Top Bottom