Sauti ya umauti masikioni mwangu

Nimekuona mpumbavu ulivyoanza kumtupia ujinga wako JPM! Kamtafute Yesu akusamehe dhambi zako na utarejeshewa miaka yako yote iliyoliwa na nzige, na madumadu, na tunutu!
 
Kama unaona mwamba ndo aliharibu maisha yako, nenda kwa Bi kidawa atakupa hela ya bure!
 
Anza kusali kanisani na hata ukiwa nyumbani omba, Soma biblia, imba nyimbo za tenzi, sio kwa ajili ya kujiandaa kufa Ila ni kwa ajili ya kuisikia sauti ya Mungu akikupa upenyo, epuka kumlaumu Mungu, mshukuru, amini binadamu anapofika mwisho ndipo Mungu anapoanzia.

Single parent kid, you have a lot to fight
 
Natamani kukabiriana nayo maana wakati nakopa nilijua nitapambana. Ila nimeishiwa pakuanzia sina. Deni la milion 6 riba yake 20% kila mwezi kwahiyo linakimbia spidi isiyo kifani. Sina sehemu ya kuingiza ata 5000. Nitapambanaje na deni linalotaka nilipe 1,000,000 kwa mwez ili libak constantly.
 
muombe aliekukopesha asimamishe riba... mwambie hali yako harisi... mkuu nayahisi maumivu yako... 😭😭😭​
 
anza kwa kufanya kazi za vibarua, kulipwa kwa day.
mpaka hii utasema huiwezi?
Hakuna kaz ya kutumia nguvu nitashindwa labda nguvu zangu ziwe ndogo sawa na ukubwa wa kazi. Shida ni kuwa nitatumia muda gan kulipa deni. Isingekuwa deni mbona easy ningechoma ata mahindi. Mkuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…