Sauti ya umauti masikioni mwangu

Hakuna kaz ya kutumia nguvu nitashindwa labda nguvu zangu ziwe ndogo sawa na ukubwa wa kazi. Shida ni kuwa nitatumia muda gan kulipa deni. Isingekuwa deni mbona easy ningechoma ata mahindi. Mkuu,
kwa hiyo ukiendelea kukaa ndo utapata hela ya kulipa deni?
 
muombe aliekukopesha asimamishe riba... mwambie hali yako harisi... mkuu nayahisi maumivu yako... 😭😭😭​
Mkuu, nashukuru kwa yako idea. Nilishawaza hivo pia na nitafanya hivo nione mapokeo yake. Ila nawaza litanichukua muda gan had kuisha. Je nitakuwa mtu wa namna gan sasa miaka inaenda mm sifanyi cha maana! Anyway nitajaribu hii huenda ikawa afadhar
 
Piga simu kwa Pastor Dominic Nabii Koboko ya Wachawi pale Buza Kwa Kulenge matatizo yako yanaisha in few minutes.
 
Mkuu, nashukuru kwa yako idea. Nilishawaza hivo pia na nitafanya hivo nione mapokeo yake. Ila nawaza litanichukua muda gan had kuisha. Je nitakuwa mtu wa namna gan sasa miaka inaenda mm sifanyi cha maana! Anyway nitajaribu hii huenda ikawa afadhar
mwenyezi Mungu akupe matumaini, akuondolee moyo wa kukata tamaa... 😭😭😭 kweli maisha hayakupi unacho kitaka 😭
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†Uyo mwamba Kisha kuweka kwenye line yake jiandae kupigwa radi mchana kweupe
 
Asante mkuu, ila huyo Mungu ndiye aliyenipitisha njia ya namna hii mkuu.
Mungu hakupi jaribu usilo limudu,ni vile tu watu hatusemi shida zetu,Usikengeuke.Wew ni kijana jasiri wengine wangeishia kukopa na kuhonga wanawake.Ila wewe umefanya hivyo kwa mama.
Fikiria mama atabaki na hali gani? Wew ndio nguzo yake.

Amini ipo siku mtakaa na kusimulia nyakati ngumu mlizopita mama yako akiwa na wajukuu zake.

Munguakutie nguvi kijana mwenzangu
 
Em komaa bhana...acha hizo jamani
Yani Iran na mashia wanawatukana na kuwadhalilisha maswahaba. Iran na mashia wanamuita mke wa mtume Muhammad SAW kahaba. Halafu umma wa uislamu tumekaa tu kimya???
 
At your age 28 yrs tayari umeanza kukata tamaa.

Ukiwa unahitaji msaada wa kubadilisha mtazamo mindset naomba unitafute .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…