milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Walioko USA wanapumulia oxygen!Sauti ya watanzania huwa wapo serious sana ukiwasikiliza , Ila hapo kwenye 1B kwa mwezi. Ngoja tusubiri tuone
GoodMwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760
kwani wewe huwa hutumii oxygen?Walioko USA wanapumulia oxygen!
Watatoa huku wengi hawafanyi kazi kuogopa kurudishwa kwa ku over stay.Wengi wana hali ngumu sana kimaisha.Kutoa ni moyo
Hata mimi nitashiriki.Mwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760
Umeonesha kiwango cha juu sana cha ujinga.Majinga yanayojitafutia umaarufu wa kipuuzi
Tuwape ili mtusaidie nini?Japo najua hiyo bil 1 haipo na hamuwezi kuchangia. Ila 1B tuleteeni watu wenye akili tuwafundishe namna inavyoweza kuwekezwa kwa vijana wakabidili maisha yao na ikawa organic campaign kwa vijana.
Lakini kwa kuwa mmekosa akili mnawaza kujaza mafuta ya bodaboda kwenye misafara na kununulia vijana sungura.
Nionee wivu hizo takataka za zero brain km wewe. Nyie ni viumbe mliochanganyikiwa bora nyumbuUmeonesha kiwango cha juu sana cha ujinga.
Wivu, chuki na husuda vitakuua. Kumbuka ni mchango wa hiari na hulazimishwi
Kila la heriMwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760
Tlaahtlaah na Mwashambwa wataficha wapi sura zao!Mwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760
Naona ana afya ya Akili mbovu!kwani wewe huwa hutumii oxygen?
Hawa Sasa hivi wanajificha kwenye mashimo wakiogopa kukamatwa na TRUMP awaerudishe nchini. Hiyo bilioni watapatia wapi?Mwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760
Wakiamua yanawezekana kama m23!Wanaota ndoto za mchana.
Labda iumbwe Tanzania nyingine.Wakiamua yanawezekana kama m23!
Kuanzia mifukoni mwako Mkuu!Hawa Sasa hivi wanajificha kwenye mashimo wakiogopa kukamatwa na TRUMP awaerudishe nchini. Hiyo bilioni watapatia wapi?