Pre GE2025 Sauti ya Watanzania(ClubHouse): Tuna mkakati wa kuchanga Tsh 1B kumsaidia Lissu na CHADEMA kuupata ukombozi unaohitajika nchini

Pre GE2025 Sauti ya Watanzania(ClubHouse): Tuna mkakati wa kuchanga Tsh 1B kumsaidia Lissu na CHADEMA kuupata ukombozi unaohitajika nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.

View attachment 3237760
Hata mimi nitashiriki.
Roho yangu huwa inauma sana ninapoona dhulma. Natamani none viongozi wanaostahili kuwepo wawe ni chaguo la wengi na sio huu uhuni unaofanyika.
Nipo tayari kuchangia mabadiliko
 
Japo najua hiyo bil 1 haipo na hamuwezi kuchangia. Ila 1B tuleteeni watu wenye akili tuwafundishe namna inavyoweza kuwekezwa kwa vijana wakabidili maisha yao na ikawa organic campaign kwa vijana.
Lakini kwa kuwa mmekosa akili mnawaza kujaza mafuta ya bodaboda kwenye misafara na kununulia vijana sungura.
Tuwape ili mtusaidie nini?
Sisi tunawekeza kwenye maslahi ya taifa zima. Taifa liwe na mifumo imara ya kidemokrasia itakayotupatia viongozi bora, bunge bora, mahakama thabiti isiyoingiliwa na siasa uchwara za kukomoa watz wenzetu kwa sababu ya tofauti za kisiasa
 
ClubHouse ni kikundi cha watu wanaoishi nje ya nchi yetu kikiongozwa na Maria Sarungi kwa support ya vikundi fulani za wazungu wa ulaya ya magharibi kwa kwa malengo yao fulani yakiwemo ya kigaidi. ClubHouse haina usajili wa Tanzania. Hivyo pesa yo yote watakayoiingiza nchini kwetu itahesabika ni pesa chafu na ye yote atakayeipokea atashitakiwa kwa kosa la money laundering na ugaidi. Pesa ya kufanyia ukombzi wa nchi yetu maana yake ni pesa ya kufanyia uhaini na ugaidi. Nchi yetu ilishajikomboa mwaka 1961, huyo anayetaka kuikomboa tena ni mhaini kwa asilimia 100%. Cha mtema kuni atakipata.
 
Inapitishwa vipi iingie chamani?
 
Mwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.

View attachment 3237760
Kila la heri
 
Mwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.

View attachment 3237760
Tlaahtlaah na Mwashambwa wataficha wapi sura zao!
 
Mwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.

View attachment 3237760
Hawa Sasa hivi wanajificha kwenye mashimo wakiogopa kukamatwa na TRUMP awaerudishe nchini. Hiyo bilioni watapatia wapi?
 
Back
Top Bottom