CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Mpuuzi kama wewe tunakupuuza tu. Hivi unajua kuwa wewe ni mmojawapi wa watu ambao wanapuuzwa na kudharauliwa sana hapa jukwaani? Hiyo CCM unayojivunia sisi wengine tuna mizizi nayo kitambo tu lakini kwa maslahi mapana ya Nchi tumeamua kujitenga nayo hivyo unavyojifanya mfia chama tunakuchora tuAhahahahaha! Bilioni kumi muiondoe CCM madarakani au mnataka kumuondoa Mwenyekiti wa Mtaa? Ahahahahaha!!
Kuna mtu wangu wa karibu kanunua Yutong mbili kwa hela ambazo anatakiwa kuwalipa ninyi chawa kumpigia kampeni "mama yenu".Japo najua hiyo bil 1 haipo na hamuwezi kuchangia. Ila 1B tuleteeni watu wenye akili tuwafundishe namna inavyoweza kuwekezwa kwa vijana wakabidili maisha yao na ikawa organic campaign kwa vijana.
Lakini kwa kuwa mmekosa akili mnawaza kujaza mafuta ya bodaboda kwenye misafara na kununulia vijana sungura.
Mpuuzi kama wewe tunakupuuza tu. Hivi unajua kuwa wewe ni mmojawapi wa watu ambao wanapuuzwa na kudharauliwa sana hapa jukwaani? Hiyo CCM unayojivunia sisi wengine tuna mizizi nayo kitambo tu lakini kwa maslahi mapana ya Nchi tumeamua kujitenga nayo hivyo unavyojifanya mfia chama tunakuchora tu
Yaani huyo kilaza hajui hata kama kuwa hai kwake maana yake anatumia oksijeni.kwani wewe huwa hutumii oxygen?
Si useme bwanako..mtu wangu mtu wanguKuna mtu wangu wa karibu kanunua Yutong mbili kwa hela ambazo anatakiwa kuwalipa ninyi chawa kumpigia kampeni "mama yenu".
Badala ya kupewa 30000, yeye anawapa 10,000.
Pole sana kwa kuwa zwazwa.
Huu ni ujinga wa kuamini ujinga.Hakuna pesa zozote za Chama zinatolewa bila auditing na kujua zinatumika vipi.Unajua bei ya Yutong mbili au ndio hadithi za kijiweni.Kuna mtu wangu wa karibu kanunua Yutong mbili kwa hela ambazo anatakiwa kuwalipa ninyi chawa kumpigia kampeni "mama yenu".
Badala ya kupewa 30000, yeye anawapa 10,000.
Pole sana kwa kuwa zwazwa.
Japo najua hiyo bil 1 haipo na hamuwezi kuchangia. Ila 1B tuleteeni watu wenye akili tuwafundishe namna inavyoweza kuwekezwa kwa vijana wakabidili maisha yao na ikawa organic campaign kwa vijana.
Lakini kwa kuwa mmekosa akili mnawaza kujaza mafuta ya bodaboda kwenye misafara na kununulia vijana sungura.
Unanipuuza halafu unajibu hoja zangu? Ahahahahaha!Mpuuzi kama wewe tunakupuuza tu. Hivi unajua kuwa wewe ni mmojawapi wa watu ambao wanapuuzwa na kudharauliwa sana hapa jukwaani? Hiyo CCM unayojivunia sisi wengine tuna mizizi nayo kitambo tu lakini kwa maslahi mapana ya Nchi tumeamua kujitenga nayo hivyo unavyojifanya mfia chama tunakuchora tu
Hivi kwenye mchango wa gari zilipatikana ngapi?Mwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760
TeheteheTena diaspora wenyewe sasa hivi wanaishi vyooni kuwakwepa ICE.Sio muda mzuri kuwaomba michango.
Hivi huko mashuleni ulienda somea UJJNGA?!Diaspora wote michango yao hawafikishi mil 100...
Hivi lile gari walifikia wap? zilipigwa kampeni mjomba hakufikisha mil 150.. leo wanatafuta B ya ndoto ...
BTW kwa remittance wanazotuma nyumbani wao ndio lowest East Africa.
Kwanini mna hofu sana? Tutachanga hizo pesa.Tuseme tu ukweli, kuichangia chadema ni kama kuingia bar na kununulia walevi pombe... Hiki chama kinaishi kisanii sana, more than 20yrs chama hakina mradi hata wa kuuza bangi..? Useless kabisa 💩 ifike wakat tuambiane ukweli... Ndio maana waswahili wakasema "Masikini haaminiki hadhaminiki habebeki" yaani zaidi ya miaka 20 chama kazi yake ni kutembeza bakuli tu...
Haya endeleeni kutembeza bakuli, sasa hivi duniani msaada wa pesa za haraka zinazopatikana masharti ni lazima uwe upinde na utangaze upinde🏳️🌈
Huu sio wakati wa kufanya siasa za maji taka na harakati, hizo siasa zilikuwa acceptable miaka 10 iliyopita... Chadema anzeni kukijenga chama kwa kutumia akili na sio kukaza makalio na misuli ya shingo mkiamini kubwatuka na kupiga kelele ndio unaonekana mjanja...
Yaani Mzee Wasila ana miaka 80 anajenga hoja kisomi na kisasa kama kijana wa miaka 40 anawashinda wasomi na vijana wa kisasa kweli..? Tuongee ukweli tu pale chadema nani anaweza kukaa meza moja na Wasira akashindana naye kwa hoja..?
Anyways ukweli mnaujua WaTz wengi 80% hawaipendi ccm hata kidogo 🤣 ila sasa ndio watafanyaje hakuna chama mbadala kinacho jitambua na kuaminika...
changeni kwani mpaka mtangaze..... mtoeni Slaa kwanza bladifaken wahuniMwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760
evidence?aTz wengi 80%
Unaumia sana dada Joyce Mukyachangeni kwani mpaka mtangaze..... mtoeni Slaa kwanza bladifaken wahuni