Sauti za Gari(Muffler)

AHMARDZ

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2016
Posts
790
Reaction score
677
Habari wadau, samahani naomba ka ushauri kwa wale watalaam wa magari, mimi na corolla E110 speed 220km/h ni muingereza version ya corolla. Nataka maujanja ya kuifanya inatoa sauti kama subaru,alteza je kuna watalaam wana fanya hivyo?,na wako wapi? kwa hapa dar es salaam.au na badilisha tuh muffler na je kuna madhara yoyote yale kwenye gari kama ukifanya localy tuh bila utalamu,yani ikiwezekana niongeze perfomance ya gari.engine ni 4a-fe
 
Jifunze kwanza kuijua gari ndipo uanze kuichokonoa.Hakuna madhara kubadilisha exhaust ila wala hakuna faida yoyote zaidi ya gharama isiyo na ulazima
 
Kuna madogo wapo kijitonyama kabla hujafika Heko bar wanafanya hayo manjonjo
 
Jifunze kwanza kuijua gari ndipo uanze kuichokonoa.Hakuna madhara kubadilisha exhaust ila wala hakuna faida yoyote zaidi ya gharama isiyo na ulazima
asante mkuu,hata hivyo exhaust enywe imesha choka choka so sio mbaya ni kibadilisha kabisa
 

Attachments

  • WP_20180805_10_06_40_Pro.jpg
    88 KB · Views: 112
nisaidie location au namba zao
Ukitokea sayansi kama unaenda ali maua unaacha njia inayoenda missuma ukipanda mlima kuna kanisa lipo mkono wa kulia li aitwa cristco church kama sijakosea jina uliza madereva bajaji utakao wakuta hapo wakuelekeze kwa hao madogo wanaasili ya japani ni mafundi wazuri sana wa hiyo mambo wanafunga sana subaru
 
asante mkuu nitawa chek na nitatoa mrejesho hapa,ebwana kama nimekuona jina lako kwenye tgread kadha kuhusu magari ila ni za muda saana tokea 2017 hivi,huko vizuri nikashindwa kudakie thread maana naona kama wausika wameachana nayo,kwa utalam wako haitokua nashida gari.nataka iwe kwenye mtizamo kama hi nimeiokota google.
mkuu
 

Attachments

  • ce11.jpg
    57.7 KB · Views: 115
  • l.jpg
    28.1 KB · Views: 97
Mkuu si ungeanza kwanza kuweka rim gari ipendeze?hiyo misauti haina maana sana sana itakukata stimu siku unahitaji kwenda sehemu isiyohitaji makelele afu lenyewe linawika vibaya
hahaha kweli mkuu ila nakuja huko kwenye rim nataka hizo hizo old fashion kuna mtu nimeongea nae ni bingwa saana ana zi customize zinakua nzuri hatari kuliko za alloy wheel,nakuja kwenye exhaust maana lina cheza nje nje na lazamani saana so nataka kitu portable na laki sasa na lenye sound zile.ila mku kuna sauti zingine nzito ila standard yani ukienda kama ikulu inakua taratibu ila ukichimba wese ndo lina itikia so kuhusu hio usiogope.
 
Kaka hizi za jiko deal saana huki zi customize zina kua na muonekano mzuri kuliko hizo sports mayai za sikuizi ila nimekuelewa aina tabu kama hizo za chini hapo
Ungetoa hizo rim za jiko ingependeza sana
 

Attachments

  • toyota-corolla-liftback-e11-2000-57773.jpg
    97 KB · Views: 103
Mkuu gari ni pesa yako tuu inakuwa vile utakavyo
 

Safi sana mkuu one step at a time, ulete mrejesho chuma kikishakaa namna unavyotaka
 
Safi sana mkuu one step at a time, ulete mrejesho chuma kikishakaa namna unavyotaka
asante mkuu target haswa ni kufikia hapa kama ile picha juu nyeusi au ile nyekundu
 

Attachments

  • last.jpg
    27.9 KB · Views: 107
  • l.jpg
    28.1 KB · Views: 99
Ridhika na mlio wa gari ulilo nalo ukitaka mlio wa Subaru kanunue Subaru ukielekezwa jinsi ya kubadilisha hapa ipo siku Utakuja useme unataka gari yako itoe mlio wa pikipiki
sio mbaya kama inawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…