Sauti za wapiga kura Uchaguzi wa CHADEMA zavuja. Wajumbe wamkataa Mbowe, wanamtaka Lissu

Sauti za wapiga kura Uchaguzi wa CHADEMA zavuja. Wajumbe wamkataa Mbowe, wanamtaka Lissu

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Kupitia ukurasa wa Youtube wa Jambo TV, kumevuja sauti ambazo zinaonesha baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwa wanapigia simu wajumbe watakaoenda kupiga kwenye uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

=========================

My take:

Mimi kama mjomba ake nimehuzunika sana, nilitamani uncle aendelee, naomba chama cha mapinduzi kimsaidie mjomba kubaki madarakani

 
Back
Top Bottom