Sauti za wapiga kura Uchaguzi wa CHADEMA zavuja. Wajumbe wamkataa Mbowe, wanamtaka Lissu

Sauti za wapiga kura Uchaguzi wa CHADEMA zavuja. Wajumbe wamkataa Mbowe, wanamtaka Lissu

Kupitia ukurasa wa Youtube wa Jambo TV, kumevuja sauti ambazo zinaonesha baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwa wanapigia simu wajumbe watakaoenda kupiga kwenye uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

=========================

My take:

Mimi kama mjomba ake nimehuzunika sana, nilitamani uncle aendelee, naomba chama cha mapinduzi kimsaidie mjomba kubaki madarakani

View attachment 3199655
Kazi kweli kweli
 
Kati ya biashara ngumu sana kipindi hiki ni "kumuuza"...kumnadi mwamba!🤣🤣🤣
 
Mbowe atashinda tu na asiposhinda atashindishwa na magwiji wa hizo kazi za wizi wa kura
 
Huyo dada wa kwanza msenge kweli.

........Anapiga kuomba kura halafu anakuwa mkali.

Anatakiwa akaliwe kwanza.
 
Kupitia ukurasa wa Youtube wa Jambo TV, kumevuja sauti ambazo zinaonesha baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwa wanapigia simu wajumbe watakaoenda kupiga kwenye uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

=========================

My take:

Mimi kama mjomba ake nimehuzunika sana, nilitamani uncle aendelee, naomba chama cha mapinduzi kimsaidie mjomba kubaki madarakani

View attachment 3199655
Kumamake yaani majimboni huko hadi karatasi za kuandikia muhtasari ya vikao wananunua kwa pesa zao viongozi wa chini?

.............Aibu sana hii, Mwamba anazipiga sana hizo noti hapo.
 
Back
Top Bottom