Chama ChakeMimi kama mjomba ake nimehuzunika sana, nilitamani uncle aendelee, naomba chama cha mapinduzi kimsaidie mjomba kubaki madarakani
View: https://youtu.be/aiKyF5RPDRs?si=pTOMqu71sJXDlPqi
Hio ni kampeni Simu kwa Simu, simu za Wajumbe zinaita huku muamala unasoma 'umeingiziwa kiasi cha million 30 kwenye akaunti yako.....'Mjomba wako anaitwa nani?
anawanyaje mkuu maliziaHawa kina dada wa Chadema si ndo ambao M/kiti huwa anawa.......?
BanduaHawa kina dada wa Chadema si ndo ambao M/kiti huwa anawa.......?
Mbowe akae pembeni kidogoMimi kama mjomba ake nimehuzunika sana, nilitamani uncle aendelee, naomba chama cha mapinduzi kimsaidie mjomba kubaki madarakani