Sawa Harmonize kakososea, ila mungu wako sio mungu wa Harmonize

Sawa Harmonize kakososea, ila mungu wako sio mungu wa Harmonize

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Yaani sisi huwa tunarudi palepale, tunamtetea sana Mungu kwa kuhisi Mungu hawezi kujitetea. Binadamu huwezi kusimama mbele na kumtetea Mungu, maybe kama Mungu huyo hana nguvu.

Kuna vitu ni vya kawaida tu, nachukuliaga poa sana, Mungu ninayemuabudu mimi, anayenibariki na kunipa afya njema huwa hataki nisimame mahali na kutetea kuhusu ukuu wake.

Ndugu zangu mnalalamika sana kuhusu posti ya Harmonize, kwangu mimi, kama amesema Mungu ni mwanamke, labda Mungu wake, sasa mtu amemzungunzia Mungu wake, wewe unaibuka na kunwambia afute.

Okay! Naye akikuuliza jinsia ya Mungu utamjibuje? Nani anajua jinsia ya Mungu asimame na aseme? Alituumba kwa mfano wake na hapohapo anasema hafanani na kitu chochote duniani.

1712929223944.jpg


Unajua tatizo letu ni moja, ukosema Mungu ni mwanamke, watu wanafikiri umemzungunlmzia Mungu watu wanayemjua, kila mtu ana Mungu wake.

Okay! Tuseme Muhindi kaibuka na kusema Mungu ni ng'ombe utamwambia afute? Unajua kamzungumzia Mungu gani?

Anasema Mungu aliyezungumziwa na vitabu vya dini, hata Wahindu buddha wao naye kazungumziwa na vitabu vyao vya dini, ukoenda kila dini, wana kitabu chao.

Kuna vitu tunavifanya tunaonekana kuzingua. Kama mtu amesema Mungu wake ni mwanamke, achana naye, labda wake, sasa mtu kamzungunzia Mungu wake, wewe unaibuka na kumtetea Mungu wako.

Guys! Mungu hawezi kutetewa na binadamu yeyote duniani. Yaani utetezi unafanywa kwa asiye na nguvu, je, unamtetea Mungu wako kwa kuwa hana nguvu?

Mimi hata usimame na kumtukana Mungu wangu, nanunua soda kwa Mangi, nakunywa huku nikitabasamu, tukana weeeeee, ila kuna siku isiyo na jina huyu Mungu wangu atakitetea kwako.

That's my Almighty GOD.
 
Vikings walikua na miungu 21
1.Odin
2.Thor
3.Frigg
4.Loki
5.Freyja
6.Baldir
7.Frey
8.
9.
 
Amri ya 3 ya MUNGU kutoka 20;1_17 inasema usilitaje bure jina la MUNGU WAKO BURE jina gani hilo ni JINA LA MUNGU YAHWE (JEHOVA) Ndyo mana wanaisrael walipomuliza MUSA JINA LA MUNGU AKASEMA ANAITWA YAHWE YIRE(JEHOVA) hayo ya akina fulani kasema mungu sijui huyo ni mungu wao na c MUNGU MKUU NA MWUMBAJI JEHOVA YIRE
 
Yaani sisi huwa tunarudi palepale, tunamtetea sana Mungu kwa kuhisi Mungu hawezi kujitetea. Binadamu huwezi kusimama mbele na kumtetea Mungu, maybe kama Mungu huyo hana nguvu.

Kuna vitu ni vya kawaida tu, nachukuliaga poa sana, Mungu ninayemuabudu mimi, anayenibariki na kunipa afya njema huwa hataki nisimame mahali na kutetea kuhusu ukuu wake.

Ndugu zangu mnalalamika sana kuhusu posti ya Harmonize, kwangu mimi, kama amesema Mungu ni mwanamke, labda Mungu wake, sasa mtu amemzungunzia Mungu wake, wewe unaibuka na kunwambia afute.

Okay! Naye akikuuliza jinsia ya Mungu utamjibuje? Nani anajua jinsia ya Mungu asimame na aseme? Alituumba kwa mfano wake na hapohapo anasema hafanani na kitu chochote duniani.

View attachment 2961654

Unajua tatizo letu ni moja, ukosema Mungu ni mwanamke, watu wanafikiri umemzungunlmzia Mungu watu wanayemjua, kila mtu ana Mungu wake.

Okay! Tuseme Muhindi kaibuka na kusema Mungu ni ng'ombe utamwambia afute? Unajua kamzungumzia Mungu gani?

Anasema Mungu aliyezungumziwa na vitabu vya dini, hata Wahindu buddha wao naye kazungumziwa na vitabu vyao vya dini, ukoenda kila dini, wana kitabu chao.

Kuna vitu tunavifanya tunaonekana kuzingua. Kama mtu amesema Mungu wake ni mwanamke, achana naye, labda wake, sasa mtu kamzungunzia Mungu wake, wewe unaibuka na kumtetea Mungu wako.

Guys! Mungu hawezi kutetewa na binadamu yeyote duniani. Yaani utetezi unafanywa kwa asiye na nguvu, je, unamtetea Mungu wako kwa kuwa hana nguvu?

Mimi hata usimame na kumtukana Mungu wangu, nanunua soda kwa Mangi, nakunywa huku nikitabasamu, tukana weeeeee, ila kuna siku isiyo na jina huyu Mungu wangu atakitetea kwako.

That's my Almighty GOD.
Sijaona kama Harmonize amekosea. Nitakuja na uzi wa kuelezea hili swala. Harminize ameonyesha brain kubwa sana
 
Sasa huku tumefika mbali jamani,dhambi binadamu tunatenda na kama haitoshi bado mnalidhihaki jina lake?Hata kama ni kutafuta kutrend hii ni mbaya sana Harmonize asome kilichowapata waliomdhihaki Mwenyezi Mungu
 
Una hoja. Tatizo binadamu anataka kumlazimisha binadamu mwingine kuamini anachokiamini..!! Hapa duniani kuna miungu mingi watu wanayoiabudu, wengine ni wapagani kabisa hawaabudu na wala hawaamini km kuna Mungu. Ninachokiona watulie wamuache Harmonize aamini kile anachokiamini yeye..!!
 
Amri ya 3 ya MUNGU kutoka 20;1_17 inasema usilitaje bure jina la MUNGU WAKO BURE jina gani hilo ni JINA LA MUNGU YAHWE (JEHOVA) Ndyo mana wanaisrael walipomuliza MUSA JINA LA MUNGU AKASEMA ANAITWA YAHWE YIRE(JEHOVA) hayo ya akina fulani kasema mungu sijui huyo ni mungu wao na c MUNGU MKUU NA MWUMBAJI JEHOVA YIRE
Hayo unaamini wewe kupitia vitabu vya dini ya Mungu unayemuabudu, sasa kuna wengine hizo Ten Commandments hawazijui na kwenye miungu yao hizo amri hazipo nao wako na zao.
 
Anamwona yeye kama yeye kuwa mwanamke.

Anazo sababu zake mwenyewe au pengine ni ile sigara kubwa.
 
Back
Top Bottom