Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Kho kho kho kho kho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndyo mana nimesema hao kina harmonize wana mungu wao na cyo huyu mwumbaji(creator) JEHOVA.Hayo unaamini wewe kupitia vitabu vya dini ya Mungu unayemuabudu, sasa kuna wengine hizo Ten Commandments hawazijui na kwenye miungu yao hizo amri hazipo nao wako na zao.
Kama comment ya mistari miwili tu umechapia, vipi ukiandika uzi🤔Sijaona kama Harmonize amekosea. Nitakuja na uzi wa kuelezea hili swala. Harminize ameonyesha brain kubwa sana
Uzuri Mungu hatokei kijijini kwaooooo. Kila mmoja ashinde Mechi zake