Sawa mnapoamua kukataa ndoa na ku-embrace u-bachelor basi msianze tena kusumbua wake za watu bakieni na mishenitauni wenzenu

Sawa mnapoamua kukataa ndoa na ku-embrace u-bachelor basi msianze tena kusumbua wake za watu bakieni na mishenitauni wenzenu

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Sera ya kukataa ndoa isibakie kwenu tu ila pia mkatae na ndoa za wengine ili msiziingilie.

Tofauti na hapo mnakuwa tu kama kikundi cha vijana matapeli mjini.

Maana kutokana na historia ya matukio kitakachofata kwenu mara nyingi ni death, ulemavu au kuziburia choo (something you really dont wish for)
 
Naamini kwa asilimia kubwa ni sababu za kiuchumi ndio zinapelekea watu wakimbie majukumu.

Ingawa unaweza sema mbona kina Bill Gates hawajaoa, walioa kwanza.
Hapa watapinga, watawasingizia wanawake kuwa hawaeleweki kumbe ni wao ndo hawaeleweki
 
Sera ya kukataa ndoa isibakie kwenu tu ila pia mkatae na ndoa za wengine ili msiziingilie.

Tofauti na hapo mnakuwa tu kama kikundi cha vijana matapeli mjini.

Maana kutokana na historia ya matukio kitakachofata kwenu mara nyingi ni either death, ulemavu au kuziburia choo (something you really dont wish for)
Vijana wa hovyo wamepita na mbususu ya mkeo nini🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom