Sawa tumekubali Harmonize atapotea. Je,WCB ina uwezo wa kumtengeneza Harmonize mwingine?

ulichotakiwa kusema ni kuwa "tangu harmonize atoke WCB kwa wakati ambao mm napata muda wa ku-tune Wasafi Tv sijawah kuona wimbo wa harmonize ukichezwa"
kwa maana sidhani kama unatazama Tv muda wote,mm nakutana na nyimbo za harmonize mara nying zikichezwa kwenye lile tambara la Wasafi Tv.
Hao Mawingu hawachez hata wimbo alioshirikshwa Diamond yaan hata kama kuna msanii kamtaja jina kwenye wimbo wake Dj anaminya ili tu hicho kipande kisisikike.
Binafsi nawasifu Wasafi Tv kwa kutoendekeza mabifu kwenye media
 
Nyimbo za Konde zinapigwa sana kwenye Radio ya Wasafi, kwenye tv sina hakika maana huwa sitazami.
 
Acha ujinga. ndo nyie mnapima ma viewers kwenye nyimbo ndo mafanikio eti..

Kuanzia mwaka jana na huu kuna msanii hapa aliyemzidi harmonize kwa kupiga show nyingi??

Na vipi show ya one music festival alilopiga marekani na mastaa kibao kisha wakahamia uingereza??

Kwa hiyo hayo unayosema mafanikio Ray Vanny kayapata ndo kampita mondi sasa??

Ficha ujinga wako
 
Jah preyah anatoka sayari gani??
 
Nimesema wapi kampita Diamond?

One Africa haifanani na Essence festival hata robo.

Ficha ujinga wako hebu soma tofauti ya stream sportfy na views Youtube.

Youtube kitonga,Sportfy unalipia ndio una stream.

Mwaka huu Rayvanny kapiga show nyingi na zenye hadhi ya juu kuliko Harmonize na ana miliki record kubwa sportfy.

Angalia matamasha aliyopiga Rayvanny mwaka huu,angalia list ya hao wasanii fananisha na One Africa.


 
Unaangalia wasafi TV ya nchi gani? Nyimbo za Rich mavoko, harmonize mbona zinapigwa sana tu
 
Wewe ni muongo usijfanye Wasafi TV unatazama pekee yako nyimbo za harmonize wasafi TV zinapigwa NA Jana nimeona wakipiga wimbo wa Magufuli acha uongo.
 
[emoji2211][emoji2211][emoji2211]nme bakiza tu kusikia mwanaume aki taja (harmo love) umu


Vijana tafuteni kazi
 
Wewe tushakuzoeaga..
Maji utayafanya yawe mafuta chenga ziwe mchele
 
Sasa huyo Harmo alikuwa na nini cha maana zaidi ya kukopi kila kitu kutoka kwa Diamond.
 
Jamii forum nyumba ya kujenga hoja zinazo ambatana na tangible evidence,kama una hoja weka hapa to prove me wrong.
Mtu mzima ni yule anayejenga hoja. na sio kuokoteza vipicha na screenshot..

Ndo tunafanyaga hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…