Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshenzi mkubwa nyumba anayoishi hadi leo kajiuzia mwenyewe kimagumashi ilikuwa nyumba ya serikali yetu pendwa.GENTAMYCINE,
Amesisitiza kuwa alifanikiwa kuzirejesha serikalini nyumba zaidi ya 50 zilizouzwa kinyemela!
Tena la mamako na mwanao wa kike.Makonda bana huyu jamaa namkubali kila hotuba yake lazima awashike watu tako.
Pamoja na kwamba una akili ndogo nakukubali Sana na naamini wanajf waliowengi wanakupenda ila hawakuonyeshi wazi kwasababu ya upopoma wako .Ulichotakiwa Kufanya ni Kukabidhi tu Ofisi ya Watu kisha ukae usubirie tu Huruma ya Roho Mtakatifu au 'Ushirikina' wako ili 'Nyota' yako iendelee Kung'aa 'Uteuliwe' tena lakini siyo kuanza 'Kujimwambafai' kwa mambo ya 'Kipumbavu' ambayo Watangulizi wako walishafanya Makubwa zaidi yako na wala hawakutaka Sifa za 'Kipuuzi' hizi kama zako.
Kuhusu Kutuita Sisi 'tunaokukosoa' na 'tusiokupenda' tena wakiongozwa na Mimi mwana CCM na mwana Simba SC Mwenzako kuwa ni ' Mbwa Mwitu ' tunaopenda ' Kubwekabweka ' hovyo wala hujakosea. Ni huku huku 'Kubwekabweka' Kwetu ndiyo kumekufanya hata juhudi zako za ' Kutia Nia 'Jimbo la Kigamboni' zifeli ' jambo ulihonga mno Pesa zako za Dhuluma.
Na ulivyo na Matatizo makubwa ya Akili 'Kichwani' umepewa nafasi fupi tu ya Kushukuru na Kumwacha 'Mteuliwaji' mpya aanze 'Majukumu' yake ya Kutuhudumia wana 'Mzizima' Wewe unaanza Kutoa Kauli zako za Kutia 'Huruma' na kama vile unamwambia Rais JPM kuwa 'Akuteue' tena wakati tunajua 'alikuonya' kuwa usiende Kigamboni na Wewe ukamuanisha kuwa Utashinda tu.
'Mbwa Mwitu' Mwandamizi Mimi GENTAMYCINE namalizia hapa kwa Kukuambia ya kwamba Kila lenye Mwanzo huwa lina Mwisho na kama ulidhani labda pamoja na ' Ushirikina ' wako pamoja na Kuwatumia Viongozi wa Dini wakubwa wa Kikristo na Kiislamu hadi kuwapa Vijana wa Mtandaoni Pesa ili JPM akukumbuke tena basi umechelewa na sasa pambana tu na Hali yako. Huna tena chako ndani ya Moyo wa na Roho ya JPM wala katika Seriakali yake na wala ndani ya CCM.
Umeshakwisha Kimoja
Ulichotakiwa Kufanya ni Kukabidhi tu Ofisi ya Watu kisha ukae usubirie tu Huruma ya Roho Mtakatifu au 'Ushirikina' wako ili 'Nyota' yako iendelee Kung'aa 'Uteuliwe' tena lakini siyo kuanza 'Kujimwambafai' kwa mambo ya 'Kipumbavu' ambayo Watangulizi wako walishafanya Makubwa zaidi yako na wala hawakutaka Sifa za 'Kipuuzi' hizi kama zako.
Kuhusu Kutuita Sisi 'tunaokukosoa' na 'tusiokupenda' tena wakiongozwa na Mimi mwana CCM na mwana Simba SC Mwenzako kuwa ni ' Mbwa Mwitu ' tunaopenda ' Kubwekabweka ' hovyo wala hujakosea. Ni huku huku 'Kubwekabweka' Kwetu ndiyo kumekufanya hata juhudi zako za ' Kutia Nia 'Jimbo la Kigamboni' zifeli ' jambo ulihonga mno Pesa zako za Dhuluma.
Na ulivyo na Matatizo makubwa ya Akili 'Kichwani' umepewa nafasi fupi tu ya Kushukuru na Kumwacha 'Mteuliwaji' mpya aanze 'Majukumu' yake ya Kutuhudumia wana 'Mzizima' Wewe unaanza Kutoa Kauli zako za Kutia 'Huruma' na kama vile unamwambia Rais JPM kuwa 'Akuteue' tena wakati tunajua 'alikuonya' kuwa usiende Kigamboni na Wewe ukamuanisha kuwa Utashinda tu.
'Mbwa Mwitu' Mwandamizi Mimi GENTAMYCINE namalizia hapa kwa Kukuambia ya kwamba Kila lenye Mwanzo huwa lina Mwisho na kama ulidhani labda pamoja na ' Ushirikina ' wako pamoja na Kuwatumia Viongozi wa Dini wakubwa wa Kikristo na Kiislamu hadi kuwapa Vijana wa Mtandaoni Pesa ili JPM akukumbuke tena basi umechelewa na sasa pambana tu na Hali yako. Huna tena chako ndani ya Moyo wa na Roho ya JPM wala katika Seriakali yake na wala ndani ya CCM.
Umeshakwisha Kimoja
Jamaa ni empty set
Hakuna marefu yasiyo na ncha, amejikaanga mwenyewe kwa mafuta yake.
Atakuwa anaota sana burudani alizokuwa anapata.
Lakini JPM alimtaja mwananzila'Makonda kwa matendo yake aliwagawa wana CCM vipande viwili kwa matendo yake yasiyo ya heshima na kiungwana. Sasa aachwe ale na "wakwao" . Ataadhirika mtaani pengine zaidi ya magesa mulongo. Kila lenye mwanzo line mwisho, atambue mwisho wake umefika, alijua "formula" ya kumdhibiti JPM itadumu milele sasa mwisho wake umefika. Namnukuu tu JPM "huyu hafai hata kuwa katibu tarafa ana tamaa sana"
Mkuu utamfanya cocochanel alieee huko alipoInaitwa 'Ze Komitii Ofu Badi Hati' Mkuu.
He is so greedy ,Nina uhakika atakua anashinda tu kwa wagangapureView Zeiss,
Wala usijali Mkuu huna haja ya kumfanyia hivyo, ila nina uhakika Maisha ambayo anaenda Kuyaanza sasa asiyoyazoea Mwenyewe atajinyonga tu.
Hizo ni frustration tu kukosa kazi,plus yale makalio yake makubwa na hips uchanganye na kushinda nyumbani unalea mtoto wa kupandikiza inahitaji moyo.Ulichotakiwa Kufanya ni Kukabidhi tu Ofisi ya Watu kisha ukae usubirie tu Huruma ya Roho Mtakatifu au 'Ushirikina' wako ili 'Nyota' yako iendelee Kung'aa 'Uteuliwe' tena lakini siyo kuanza 'Kujimwambafai' kwa mambo ya 'Kipumbavu' ambayo Watangulizi wako walishafanya Makubwa zaidi yako na wala hawakutaka Sifa za 'Kipuuzi' hizi kama zako.
Kuhusu Kutuita Sisi 'tunaokukosoa' na 'tusiokupenda' tena wakiongozwa na Mimi mwana CCM na mwana Simba SC Mwenzako kuwa ni ' Mbwa Mwitu ' tunaopenda ' Kubwekabweka ' hovyo wala hujakosea. Ni huku huku 'Kubwekabweka' Kwetu ndiyo kumekufanya hata juhudi zako za ' Kutia Nia 'Jimbo la Kigamboni' zifeli ' jambo ulihonga mno Pesa zako za Dhuluma.
Na ulivyo na Matatizo makubwa ya Akili 'Kichwani' umepewa nafasi fupi tu ya Kushukuru na Kumwacha 'Mteuliwaji' mpya aanze 'Majukumu' yake ya Kutuhudumia wana 'Mzizima' Wewe unaanza Kutoa Kauli zako za Kutia 'Huruma' na kama vile unamwambia Rais JPM kuwa 'Akuteue' tena wakati tunajua 'alikuonya' kuwa usiende Kigamboni na Wewe ukamuanisha kuwa Utashinda tu.
'Mbwa Mwitu' Mwandamizi Mimi GENTAMYCINE namalizia hapa kwa Kukuambia ya kwamba Kila lenye Mwanzo huwa lina Mwisho na kama ulidhani labda pamoja na ' Ushirikina ' wako pamoja na Kuwatumia Viongozi wa Dini wakubwa wa Kikristo na Kiislamu hadi kuwapa Vijana wa Mtandaoni Pesa ili JPM akukumbuke tena basi umechelewa na sasa pambana tu na Hali yako. Huna tena chako ndani ya Moyo wa na Roho ya JPM wala katika Seriakali yake na wala ndani ya CCM.
Umeshakwisha Kimoja
AtakomaHe is so greedy ,Nina uhakika atakua anashinda tu kwa waganga
Amchukue akaishi nae Chamwino na badae 2025 aende nae Chato. Tunayahitaji mabaki ya mwili wa Ben Saanane,Bora Lissu yupo hai japo ni mlemavu wa kudumuUsifanye haraka kufikia hitimisho Mkuu, yajayo ya Mkuu wa Kaya hatuyajui. Huyu jamaa ana siri nyingi sana za mambo yaliyofanyika hapa Dar na hata Dodoma kuachwa hivihivi bila kumfadhiri. Anaweza kuimba kama canary watu wakapata tabu sana! Katika mambo haya kuna choice mbili, eidha kumpotezea au kumfadhiri na kumhifadhi sehemu nyingine. Hatujaona mwisho wa Makonda bado, bado sana!
Kwa hiyo mwakani hatoi futari tena? Vipi ulinzi huko Kigamboni au GSM wamemuwekea suma jkt?pureView Zeiss,
Wala usijali Mkuu huna haja ya kumfanyia hivyo, ila nina uhakika Maisha ambayo anaenda Kuyaanza sasa asiyoyazoea Mwenyewe atajinyonga tu.