Say No to Racims, nasimama na Dejan Georgijevic

Kinachoendelea dhidi ya Mshambuliaji wa Simba, sio sawa wala huu sio ushabiki ni ubaguzi na upumbavu wa hali ya juu!

Sijui uko alipo anajiskiaje huyu mwamba!

Kibinadamu sio fair kabisa hii
Kwani ile siku ya simba day alipotambulishwa kama Mzungu na mshereheshaji na msemaji wa timu husika, alijisikiaje?

Alimchukuliwa hatua gani baada ya kumtambulisha kama Mzungu, badala ya jina lake halisi?
 
Letee cheusiii jmn mm niliandika Uzi hapa kulalamikia juu ya ubovu wa utambulisho aliyofanya Ahmed Ally alikosea Sana ila makolo wakanishambulia

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Makolo wamelelewa vibaya na TFF,Kwa kifupi makolo ni watoto wa mama wanachokoza Sana wakijivunia mama yao. Safari hii makolo wanajishambulia wenyewe.
 
Lete mzungu, lete mzunguu!!! Ha ha ha Simba imepigwa na mzungu ndani. Yanga kiboko.
 
Hizi kenge ndio huwa zinamtukana Manara kila siku, leo zinabweka kuhusu Mzungu. Si nyie wenyewe ndio mlimtambulisha hivyo?

Makolo tulizeni miguu dawa iingie!
 
Hapana, usi-generalize..wewe ukiitwa hadharani "wewe mtu mweusi" njoo mbele utasema umepewa sifa? hiyo siyo sifa ni ubaguzi, hata mtoto uliyemzaa huwezi kumuita "we mtoto" sababu hilo si jina lake, watanzania tuwe wastaarabu.
Kwani yule wamemuita MWEUPE??
 
Ubaguzi ni suala gumu sana, Leo hii nilikuwa na jamaa yangu mmoja tukakutana na rafiki yake, katika kutambulishana na mazungumzo mawili matatu yule rafiki yake akauliza sawali "we kabila gani"? Kwa kawaida huwa sipendi swali la aina hii kwahiyo sikumjibu.

Kwa uzoefu wangu swali la aina hii huambatana na maelezo kama vile; walewaleeee, au wazee wa kujifagilia, au vyovyote vile ambayo kimsingi si sawa.

Huwa najiuliza hivi ni kwanini kuna mtu mweusi ilhali mwingine ni mweupe? Kuna mrefu wakati mwingine ni mfupi? Lakini kuna mwembamba na mnene, kuna tajiri na masikini, kuna mlemavu na aliyekamilika na kadhalika
 
Simba ni wapumbavu sana!!, Siku Ile yule msemaji wenu alipomtambulisha kama kama mzungu Kuna aliyesema mbona anambagua??. Acheni utahira uzungu sio tusi, akili zenu ni za kipopoma πŸ˜‚. Kwahiyo nikikuita mwafrika nimekubagua?

Lete mthungu leteeee mtungu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ngozi ya tako mna shida sana
Tuwe ngozi ya tako au hata ya p.umbu swala ni kwamba huyo mzungu wako/wenu hajui mpira. Na lazima tumcheke/tumtanie kwa sababu hajui mpira. Kama tulivyowatania kina Yikpe na kina Sarpong na nchimbi na wengineo!

Kudai kwamba hapaswi kutaniwa hata kama kazingua kisa yeye ni mzungu huo ndio ubaguzi wenyewe. Sisi ni mashabiki waadilifu na kipimo kilekile tulichowapimia wenzie waliopita kabla yake tutampimia na yeye. Bila kujali rangi ya ngozi yake wala utaifa wake.

Kaflop kwenye game ya juzi (derby) na ile ya simba day ni lazima ataniwe na achekwe. Siku akifanya vizuri tutamsifia na kumshangilia. Hakuna ubaguzi hapo ni ushabiki tu.

Anataniwa Maguire ye nani!?
 
alipokuwa anataniwa Azizi ki kuwa ni Aziza ulikuwa unakula ugali wa matembele block E ukaona ni sawa tu. Alipokuwa anataniwa Lomalisa kwa kumuita Dada Joyce ulikuwa block E unachoma mahindi.

Hata hivyo aliyeanza mambo ya Lete Mzungu ni huyu kijana wenu wa Wana simbaaaaaaa tuache tumalizane na nyie
 
Ngozi ya tako huwezi fikiri zaidi ya urefu wa pua yako
 
Hapana, usi-generalize..wewe ukiitwa hadharani "wewe mtu mweusi" njoo mbele utasema umepewa sifa? hiyo siyo sifa ni ubaguzi, hata mtoto uliyemzaa huwezi kumuita "we mtoto" sababu hilo si jina lake, watanzania tuwe wastaarabu.
We jamaa yaani mtoto kumuita mtoto ni ubaguzi!?? Ajabu hii

Yule ni mzungu na huo ndio utambulisho wake rasmi kama ilivyokua kwa kishingo, uchebe nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…