Sayansi imeshindwa kutabiri kwa usahihi matetemeko ya ardhi?

Sayansi imeshindwa kutabiri kwa usahihi matetemeko ya ardhi?

Kuna mtu anaitwa dr hoogerbeets alitabiri 3days before ya tukio kumtokea ni labda tu hukufatilia.
Scientists wanaweza kutabiri kulingana na vipimo vya seismic activities kwenye lile eneo (hasa kama hilo ambalo tectonic plates zinakutana). Hii inasaidia kutoa tahadhari ya kujitayarisha, hata hivyo kwamba tetemeko litatokea saa fulani na dakika fulani hilo bado,
 
1. Matetemeko
2 tetesi za vita
3.upendo kupoa
4 watu kupenda pesa
5.kutokupenda suluhu
Dalili za nykti za Meiji
Nyakati za mwisho
 
Scientists wanaweza kutabiri kulingana na vipimo vya seismic activities kwenye lile eneo (hasa kama hilo ambalo tectonic plates zinakutana). Hii inasaidia kutoa tahadhari ya kujitayarisha, hata hivyo kwamba tetemeko litatokea saa fulani na dakika fulani hilo bado,
Kwani mimi nimesemaje jamani nimesema frank hoogerbeets alitoa angalizo mapema na kusema sehemu zitakazoathirika na ukubwa wa 7.5 siku tatu kabla au haukunielewa mkuu?
 
Kwani mimi nimesemaje jamani nimesema frank hoogerbeets alitoa angalizo mapema na kusema sehemu zitakazoathirika na ukubwa wa 7.5 siku tatu kabla au haukunielewa mkuu?
Mimi sijakupinga nimeongelea tu kuwa scientists bado hawajaweza kudetermine the exact time (kwamba labda itatokea jumatatu saa tano asubuhi).

Hata ile Tsunami ya 2006 pia walitahadharisha.
 
Kabisa itakuwa hapana haja ya PhD
PhD zisizoleta tija itabidi vyuo vyetu vizizuie. Ni upuuzi tu unajaza madaktari wa falsafa tele lakini mambo ya muhimu hawana mchango wowote.
 
Mimi sijakupinga nimeongelea tu kuwa scientists bado hawajaweza kudetermine the exact time (kwamba labda itatokea jumatatu saa tano asubuhi).

Hata ile Tsunami ya 2006 pia walitahadharisha.
Sasa mbona hakuna preventive measures zinazochukuliwa??
 
Sayansi ni zawadi kutoka kwa huyo huyo Mungu. Ni ajabu kuna watu wanaiona sayansi kama kitu kinachokinzana na Mungu. Hayo ni mawazo duni kabisa.
Mawazo duni vipi? Sayansi inasemaje kuhusu chanzo cha binadamu?
 
Nilisoma kuwa ni vigumu sana kutabiri tetemko kwa usahihi kabisa japo sensors za kudetect zimesambazwa kila mahali kwa mfano kwa nchi kama japan kila kona wameweka sensors.
Ila hili tetemko si mchezo never seen before.
Asili haijawahi kuzuiliwa mipango yake.
 
Ni kwasabb ya mgongano wa underground earth plates ambazo movement yake inatokana na high pressure chini, haya ndo maelezo ya ma geologist yako brief sana hawana details zaidi, ila sie tunao muamini Allah liko kwenye Quran lilishaelezewa vizuri kama wataka kujua zaidi kasome Quran.

Hiyo kurwani ilieleza kuwa tetemeko litatokea uturuki na syria siku na tarehe husika?au ndio mwendo wa ramli chonganishi?wafia dini ni watu hopeless kabisa.
 
Huwa kila zinapokuja hizi habari za matetemeko ya ardhi swali hili hunijia akilini.

Ni juzi tu huko Uturuki maelfu ya watu wamekufa kutokana na tetemeko la ardhi.

Sayansi ya maumbile ya dunia (Geology) imeshindwa kubashiri na kuepusha janga linalotokana na mitetemo ya ya dunia?
Unajua toka sheik Yahya afe hakuna tena anayeweza kutabiri kwa usahihi.
 
Ukiangalia yale magorofa yanavyoanguka unaweza siku kama lile linapiga nchi zetu hizi ambazo majumba yenyewe yanaanguka tu bila mtingishiko mungu atuepushe na hii zahma tu maana tutaisha
 
Back
Top Bottom