bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Scientists wanaweza kutabiri kulingana na vipimo vya seismic activities kwenye lile eneo (hasa kama hilo ambalo tectonic plates zinakutana). Hii inasaidia kutoa tahadhari ya kujitayarisha, hata hivyo kwamba tetemeko litatokea saa fulani na dakika fulani hilo bado,Kuna mtu anaitwa dr hoogerbeets alitabiri 3days before ya tukio kumtokea ni labda tu hukufatilia.
Kwani mimi nimesemaje jamani nimesema frank hoogerbeets alitoa angalizo mapema na kusema sehemu zitakazoathirika na ukubwa wa 7.5 siku tatu kabla au haukunielewa mkuu?Scientists wanaweza kutabiri kulingana na vipimo vya seismic activities kwenye lile eneo (hasa kama hilo ambalo tectonic plates zinakutana). Hii inasaidia kutoa tahadhari ya kujitayarisha, hata hivyo kwamba tetemeko litatokea saa fulani na dakika fulani hilo bado,
Mimi sijakupinga nimeongelea tu kuwa scientists bado hawajaweza kudetermine the exact time (kwamba labda itatokea jumatatu saa tano asubuhi).Kwani mimi nimesemaje jamani nimesema frank hoogerbeets alitoa angalizo mapema na kusema sehemu zitakazoathirika na ukubwa wa 7.5 siku tatu kabla au haukunielewa mkuu?
PhD zisizoleta tija itabidi vyuo vyetu vizizuie. Ni upuuzi tu unajaza madaktari wa falsafa tele lakini mambo ya muhimu hawana mchango wowote.Kabisa itakuwa hapana haja ya PhD
Sasa mungu mbona hajazuiaPale sayansi inapoisho Mungu Baba ndiyo anapoanzia
Anaanzia kufanyaje? Kuua watu kwa tetemeko?
Sayansi ni zawadi kutoka kwa huyo huyo Mungu. Ni ajabu kuna watu wanaiona sayansi kama kitu kinachokinzana na Mungu. Hayo ni mawazo duni kabisa.Pale sayansi inapoisho Mungu Baba ndiyo anapoanzia
Sasa mbona hakuna preventive measures zinazochukuliwa??Mimi sijakupinga nimeongelea tu kuwa scientists bado hawajaweza kudetermine the exact time (kwamba labda itatokea jumatatu saa tano asubuhi).
Hata ile Tsunami ya 2006 pia walitahadharisha.
Let us be realistic, utachukuwa preventive measures gani kwa mfano?Sasa mbona hakuna preventive measures zinazochukuliwa??
Mawazo duni vipi? Sayansi inasemaje kuhusu chanzo cha binadamu?Sayansi ni zawadi kutoka kwa huyo huyo Mungu. Ni ajabu kuna watu wanaiona sayansi kama kitu kinachokinzana na Mungu. Hayo ni mawazo duni kabisa.
Kwani hujui kifo ni lazima uhai ni zawadi mkuu.
Asili haijawahi kuzuiliwa mipango yake.Nilisoma kuwa ni vigumu sana kutabiri tetemko kwa usahihi kabisa japo sensors za kudetect zimesambazwa kila mahali kwa mfano kwa nchi kama japan kila kona wameweka sensors.
Ila hili tetemko si mchezo never seen before.
Ni kwasabb ya mgongano wa underground earth plates ambazo movement yake inatokana na high pressure chini, haya ndo maelezo ya ma geologist yako brief sana hawana details zaidi, ila sie tunao muamini Allah liko kwenye Quran lilishaelezewa vizuri kama wataka kujua zaidi kasome Quran.
1. Matetemeko
2 tetesi za vita
3.upendo kupoa
4 watu kupenda pesa
5.kutokupenda suluhu
Dalili za nykti za Meiji
Nyakati za mwisho
Wewe kwa kweli ni kiazi soma mada kwanza inasema je.Hiyo kurwani ilieleza kuwa tetemeko litatokea uturuki na syria siku na tarehe husika?au ndio mwendo wa ramli chonganishi?wafia dini ni watu hopeless kabisa.
Let us be realistic, utachukuwa preventive measures gani kwa mfano?
Wewe kwa kweli ni kiazi soma mada kwanza inasema je.
Unajua toka sheik Yahya afe hakuna tena anayeweza kutabiri kwa usahihi.Huwa kila zinapokuja hizi habari za matetemeko ya ardhi swali hili hunijia akilini.
Ni juzi tu huko Uturuki maelfu ya watu wamekufa kutokana na tetemeko la ardhi.
Sayansi ya maumbile ya dunia (Geology) imeshindwa kubashiri na kuepusha janga linalotokana na mitetemo ya ya dunia?