Kuna mtu alinitumia hii kitu majuzi. Kumbe..................
Hii ni company inajihusisha na ecommerce .. yaan kufanya kazi mitandaoni na kulipwa malipo yko...
Kazi hii iko hvi:-
Unajiunga kwa kupitia link ambayo nitakutumia mm... Then ukishajisajili unwekeza kiwango cha fedha... (Mwanzo ni kuanzia 20000 na kuendelea.. ) hii iko level mbili mpka ss.. inaitwa vip 1 na vip 2...
Ukishawekeza hyo hela ss ww kazi unayotakiwa kufanya ni kuingia (login) ktk hyo tovuti yao.. na kuanza kuzipa bidhaa 20 nyota 5 na kuipa sifa hyo bidhaa... ( Kampuni hii inashirikiana na shoppingonline 4)
Na kulipwa inalingana na kieango chako cha uwekezaji.. km utaekeza 50000 bas kila ukiingia na kufanya hyo kazi utaipwa 2000 na kila pesa unapozidi na malipo pia huongezeka...
Chengine ni pale unapomuunga mtu kupitia link yako bas utalipwa percent kadhaa kila anapofanya hyo kazi yake... Na utakapoingiza watu watano tu bas wanakupa fursa ya kuingia vip2 ambayo nayo ni kuanza kuekeza kuanzia laki 2 mpka million... Na ukitimiza hapo wanakupa laki 5 ya kufungua ofisi yako nchini tz ili uwe km ni wakala wa kylinda...
Ukiwa na suali lolote usisite kuniulizaaa..
Shukran
View attachment 2359862