Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi mambo utabidi uwe na elimu kwa vile bado tuko hai .utakuja kukumbuka maneno yangu kama kama tukiwa hai maana sidhani Kama mwakani muda kama huu utafiki kweli hawa vijana bila ya kulia yaani watapigwa .
Ukicheza na saikolojia ya dunia na uzao utakuja tambua kwamba wajinga wanazaliwa kila na hata vyuoni wanafika so unaweza kuwatumia wajinga wapya daily hapo wale waliopigwa mwaka Jana na ideadibator sijui ambao ilikufa miezi wa mwanzoni mwaka huu hawawezi kutia mguu na hao wa smarthela.
Cheti kupata brela ni rahisi na pia kinaweza kutenezwa na adobe Photoshop michezo watu washafanya sana kumbuka makampuni ya nje kama inclusive forex, world way capital, Infonix, wozur yaani ni kibao wakae mkao wa kula.
Hizi mambo utabidi uwe na elimu kwa vile bado tuko hai .utakuja kukumbuka maneno yangu kama kama tukiwa hai maana sidhani Kama mwakani muda kama huu utafiki kweli hawa vijana bila ya kulia yaani watapigwa .
Ukicheza na saikolojia ya dunia na uzao utakuja tambua kwamba wajinga wanazaliwa kila na hata vyuoni wanafika so unaweza kuwatumia wajinga wapya daily hapo wale waliopigwa mwaka Jana na ideadibator sijui ambao ilikufa miezi wa mwanzoni mwaka huu hawawezi kutia mguu na hao wa smarthela.
Cheti kupata brela ni rahisi na pia kinaweza kutenezwa na adobe Photoshop michezo watu washafanya sana kumbuka makampuni ya nje kama inclusive forex, world way capital, Infonix, wozur yaani ni kibao wakae mkao wa kula.
Betting sio scam, chunga kauli yako kijana.
Betting sio Scam kijanaa..Ile ni really either ule au UliweeeHajielewi huyo, Bettig ni bahati na sibu, unatabiri ukipatia uavuta mshiko ukikosea unakosa , kila kitu kipo wazi
Betting sio scam ipo na itakuwepo milele labda hao wenye kampuni za betting ,watu kibao wanakula wanapiga pesa then anayefanya betting ndo risk taker na kajengeka kisaikolojia hata aliwe anajua one day anapiga parefu na anaweka kidogo kwa kupiga parefu ,kuliko huo upumbavu wa kukaa huna access huna choice wakifunga kama ivyo ushaenda....poleni sana pumbavu wote waliopigwa hayo kayland sijui upumbavu gani?Hajielewi huyo, Bettig ni bahati na sibu, unatabiri ukipatia uavuta mshiko ukikosea unakosa , kila kitu kipo wazi
Watu wajinga Sana.Wabongo kwa kupenda mteremko wataendelea kupigwa tu
Hawa ambao wamo humu JF wanifuate mimi waje wanieleze ujinga waoHata humu jf wamo, kuweni makini tuu.
Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce
Huu ni uzi maalum na mahsusi juu ya kujadili juu ya hawa jamaa wa Kalynda na namna gani wanafanya kazi zao, pia tujuzane kwa namna gani hawa watu ni wakweli... karibu kuchangia chochote unachokijua kuhusu Kalynda E-commercewww.jamiiforums.com