DOKEZO Scam Alert: Kalynda E-Commerce Investment ni Qnet Inayochipukia, ITV watumika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
 
 
Hajielewi huyo, Bettig ni bahati na sibu, unatabiri ukipatia uavuta mshiko ukikosea unakosa , kila kitu kipo wazi
Betting sio scam ipo na itakuwepo milele labda hao wenye kampuni za betting ,watu kibao wanakula wanapiga pesa then anayefanya betting ndo risk taker na kajengeka kisaikolojia hata aliwe anajua one day anapiga parefu na anaweka kidogo kwa kupiga parefu ,kuliko huo upumbavu wa kukaa huna access huna choice wakifunga kama ivyo ushaenda....poleni sana pumbavu wote waliopigwa hayo kayland sijui upumbavu gani?
 

WASHATEMBEA MTU KAENDA OFSINI KWAO CHEK VIDEO πŸ˜‚
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hawa ambao wamo humu JF wanifuate mimi waje wanieleze ujinga wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…