Kamwene kamwene
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,159
- 2,601
Ile scania hakuna Golden deer wala Newforce anayofaita hiyo mashine afu dereva ndo kavurugwa
Ni kama Mimi kipindi nipo Dar nilikuwa napenda kusikiliza milio ya coaster za mbagala nimesahau majina yake ila zilikuwa na milio tofauti na coaster zinazopiga route nyingine. Zilipokuwa zinanipita nilikuwa nasimama kabisa kusikiliza milio yake.[emoji3][emoji1]Napanda ile sauti inayotoka kwenye scania hasa ikiwa mlimani
Majinja anawatesa wengi. Ushuhuda wa Traffic police
Hatar sana mkuuScania hizo
Scania ndugu zake ni Man diesel,Benz Actros ninashangaa kumfananisha na vitu vya ajabu ajabu kila kukicha...kuna jamaa jirani yetu wana 113 toka utawala wa Mwalimu Nyerere mpaka kesho wanayo na inaenda DRC...
Mkuu mimi naamini sana katika matoleo ya karibuni kama P series na R series lakini hiyo ngoma toka tupo shule ya msingi mpaka tuna familia wanabadili body tuu mara livute tela la mafuta mara contena wakiamua wanaweka kichanja lenyewe lipo tuu harafu mtu anakuja kufananisha na vitu vyake ...Hili jiko 113 si mchezo gia nane za kibabe haswa
Kuna Jm express ana yutong anapiga musoma-dsm,,Mwambie azipeleke Masafa ya Mbeya, Tunduma, Mwanza au Kahama kama zitaendelea kudumu yeye anafanya safari ya Dar-Moro gari haichakai haraka
Torque vs Horsepower hili somo watu wengi sana linawapa tabu.Hapo hp wala isikuumize kichwa. Unachotakiwa kujua kwenye haya magari makubwa ni kitu wanaita torque. Unaweza kuta engine ya Scania ina hp chache lakini ina torque kubwa kuliko Cummins. So in principle, japo Cummins ina 360hp, Scania ya 310hp itakuwa na uwezo mkubwa hasa kwenye miinuko kuliko Cummins.
Nimecheki specs za hizo engines, wanasema:-
Scania 310hp 1550Nm za torque
Cummins 360hp 1085Nm za torque.
So hapo Scania lazima tu atoboe kwenye miinuko au wakiwa na mzigo. Ila kwenye plains, cummins anaweza kunyooka zaidi.
Saana. Wengi tunajua horsepower. Ila torque sio kivile. Na uhusiano hivyo vitu viwili pia ni changamoto.Torque vs Horsepower hili somo watu wengi sana linawapa tabu.
Huu Moto hatariView attachment 1193145
Kweli kabisaa mkuu.Saana. Wengi tunajua horsepower. Ila torque sio kivile. Na uhusiano hivyo vitu viwili pia ni changamoto.
Scania 113 hizo, zilikuwa ngumu sana kufaZile Lori ambazo zikipanda mlima znatoa sauti kama znasikilizia utam ni zipi?.....utaskia....mbuuuuuuuuuuny ooouuuuuh......mbuuuuuuuuuny oouuuh!!!!...×10 mpka mlima uishe
Nazikubali sana izo
Kuna Jm express ana yutong anapiga musoma-dsm,,
Huyo mnyama namshuhudia akiingia buzuruga tano usiku akitokea dsm.
Hizi gemilang pamoja na Scania touring nazikubali sana aiseeScania 95 gemilang milion 600View attachment 1192164
Mkuu mimi naamini sana katika matoleo ya karibuni kama P series na R series lakini hiyo ngoma toka tupo shule ya msingi mpaka tuna familia wanabadili body tuu mara livute tela la mafuta mara contena wakiamua wanaweka kichanja lenyewe lipo tuu harafu mtu anakuja kufananisha na vitu vyake ...
Kuna Jm express ana yutong anapiga musoma-dsm,,
Huyo mnyama namshuhudia akiingia buzuruga tano usiku akitokea dsm.