Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia zongtong climber ni 280mil na sio watu wanavyosema 400mil. Tume clear upotoshaji
Kiufupi hii mada yako imesifia zaidi scania kuliko hayo mamichina unayotetea mkuu.
Scania ni next level bei zao tu ndio zinanyima watu wa opt huko.
Yeah ni kweli ila mwisho wa siku ni utunzaji tu check yutong f12 & f12+ za abood Bado mbichi kabisa
Katika lugha rahisi sana. Torque ni nini?Hapo hp wala isikuumize kichwa. Unachotakiwa kujua kwenye haya magari makubwa ni kitu wanaita torque. Unaweza kuta engine ya Scania ina hp chache lakini ina torque kubwa kuliko Cummins. So in principle, japo Cummins ina 360hp, Scania ya 310hp itakuwa na uwezo mkubwa hasa kwenye miinuko kuliko Cummins.
Nimecheki specs za hizo engines, wanasema:-
Scania 310hp 1550Nm za torque
Cummins 360hp 1085Nm za torque.
So hapo Scania lazima tu atoboe kwenye miinuko au wakiwa na mzigo. Ila kwenye plains, cummins anaweza kunyooka zaidi.
f12+ bei inaanzia 350mUnataka sema yutong f12+ ni ghali kuliko climber??
Katika lugha rahisi sana. Torque ni nini?
Torgue (mechanics) is force that tends to cause rotation, .ni nguvu inayopelekea kusababisha mzunguko, kwa hiyo kwa scania ina nguvu kubwa mlimani, inaweza kukupita kama umesimama, that means inapokuwa kwenye low gear torgue yake ina nguvu kubwa kuliko zingine.
Mkuu gari za abood yutong hazipigi route za kibabe mzee, gari zake nyingi ni dar-moro, Arusha-dar, wakati huohuo kutoka dar kuja mbeya ni marcopolo hawajawi leta yutong huku ipambane na milimaYeah ni kweli ila mwisho wa siku ni utunzaji tu check yutong f12 & f12+ za abood Bado mbichi kabisa
Hiyo ngao yote mbele ya nn? anataka kugongana au
Katika lugha rahisi saana, torque ni nguvu ya kuvuta kwa gari linalovutia mbele au nguvu ya kusukuma kwa RWD. Mara nyingi utasikia watu wakisema gari lina "pulling" kubwa. Au linachanganya haraka.Katika lugha rahisi sana. Torque ni nini?
Haaa!!! Karudi hewani?
Scania hizoZile Lori ambazo zikipanda mlima znatoa sauti kama znasikilizia utam ni zipi?.....utaskia....mbuuuuuuuuuuny ooouuuuuh......mbuuuuuuuuuny oouuuh!!!!...×10 mpka mlima uishe
Nazikubali sana izo
Dhumuni la hii mada ni baadhi ya upotoshaji au chumvi zinazowekwa na wanazi wa haya mabus kila mtu akivutia upande wake!
Ni ukweli usiopingika kwa ishu ya durability scania yupo vizur zaidi
Ila kuna baadhi ya vitu nahisi ni upotoshaji wa watu mfano Climber yenye top speed 140 km/hrs na scania yenye top speed 120km/hrs obviously Climber atakua mbele , number doesn't lies
Ingawa katika kesi ya kuchanganya kwa engine by means of rpm scania atawahi ku attain maximum speed compaired na Dongfeng Cummins
360 hP Cummins vs 310hP scania apa pia ni pa kupaangalia ingawa configuration of power and weight of body ina matter lakini kwa still scania anaonekana kuwa Bora zaidi ila bado numbers aziongopi!
Pia uwezo wa dereva unachangia kwa gari koonekana Bora ukitaka kudhibitisha Angalia Newforce golden deer za tunduma zinavo zipa shida scania ( majinja Kilimanjaro Express ect)
Au ilivo kwa alseid ya mbeya Na Saul ya mbeya !
Nawasilisha
Lete fact zingine ambazo unahisi ni za kweli ila watu wanapotosha kwa mapenzi Yao binafsi
Dhumuni la hii mada ni baadhi ya upotoshaji au chumvi zinazowekwa na wanazi wa haya mabus kila mtu akivutia upande wake!
Ni ukweli usiopingika kwa ishu ya durability scania yupo vizur zaidi
Ila kuna baadhi ya vitu nahisi ni upotoshaji wa watu mfano Climber yenye top speed 140 km/hrs na scania yenye top speed 120km/hrs obviously Climber atakua mbele , number doesn't lies
Ingawa katika kesi ya kuchanganya kwa engine by means of rpm scania atawahi ku attain maximum speed compaired na Dongfeng Cummins
360 hP Cummins vs 310hP scania apa pia ni pa kupaangalia ingawa configuration of power and weight of body ina matter lakini kwa still scania anaonekana kuwa Bora zaidi ila bado numbers aziongopi!
Pia uwezo wa dereva unachangia kwa gari koonekana Bora ukitaka kudhibitisha Angalia Newforce golden deer za tunduma zinavo zipa shida scania ( majinja Kilimanjaro Express ect)
Au ilivo kwa alseid ya mbeya Na Saul ya mbeya !
Nawasilisha
Lete fact zingine ambazo unahisi ni za kweli ila watu wanapotosha kwa mapenzi Yao binafsi
Ike ni sauti ya turbo mzee hatari sanaNapanda ile sauti inayotoka kwenye scania hasa ikiwa mlimani
Kumbe Sauli ya mbeya ni Scania ? Inatembea balaa