Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma kwaajili ya kutengeneza kazi sio kupata kazi.Waliosoma gani hii wanakaribia kudata kazi hakuna.
Wacha wee.Soma kwaajili ya kutengeneza kazi sio kupata kazi.
Yes, hiyo scholarship ukiipata ina pesa nyingi kuliko hata mshahara.Wacha wee.
Mshahara wa nani unao utolea mfano?Yes, hiyo scholarship ukiipata ina pesa nyingi kuliko hata mshahara.
Commonwealth scholarship = unalipwa 4M kwa mwezi unasoma miaka mitatu (4M X 12 miezi X 3 miaka) = 144 M.Mshahara wa nani unao utolea mfano?
Au mshahara wa dhambi ambao ni mauti?
Kwa level gan?Hivi hakuan Scholarship ya Record management
Masters mkuuKwa level gan?
Tumewatumia wanaohitaji kusoma.Humalizi hii ndoto yako,...
Amka bwashee tafuta hela.......
Nishakuulizaga na tena hukunijibu hivi vigezo vya huko nje Ni same ni TZ mm natoka soma computer science degree ila nina diploma ya HR na esabu nilizingu huko 4m4 ndoto yangu inaweza fanikiwa huko njekusoma hio courseWatu wapo kimya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama sio wao. Kelele zote kwisha.
Hivi unalipwa au unapewa stipend? Je hiyo hela kwa gharama za maisha za huko kwa wenzetu unadhani utaweza ku save kitu?Commonwealth scholarship = unalipwa 4M kwa mwezi unasoma miaka mitatu (4M X 12 miezi X 3 miaka) = 144 M.
Hiyo itakua 26000 USD kwa mwaka (26000 USD ) = 60 M kwa mwaka.
Jaribu kutafuta information
Barua ya posa je..??Tumewatumia wanaohitaji kusoma.
View attachment 2512184
Gharama za maisha za UK unazijua boss? Tatizo la watanzania kila kitu tunakionaga kigumu. Embu tafuta mwanafunzi anayesoma UK muulize kodi ya chumba sh ngapi na chakula sh ngapi kwa mwezi.Hivi unalipwa au unapewa stipend? Je hiyo hela kwa gharama za maisha za huko kwa wenzetu unadhani utaweza ku save kitu?
Acha kulisha watu matango mwitu.
Kwa scholarship inaweza kuwa ni ngumu, labda kama unajisomesha mwenyewe.Nishakuulizaga na tena hukunijibu hivi vigezo vya huko nje Ni same ni TZ mm natoka soma computer science degree ila nina diploma ya HR na esabu nilizingu huko 4m4 ndoto yangu inaweza fanikiwa huko njekusoma hio course
Inbox hujibu mzeeKwa scholarship inaweza kuwa ni ngumu, labda kama unajisomesha mwenyewe.