wana jf naomba msaada wenu mwenye kujua utaratibu wa kupata scholarship za china kupitia wizara ya elimu:
Maana nimepata official email toka china kuwa nimepata nijiandae kwa safari document zitakuja soon:nimeenda wizarani wanasema jina langu halikurudi:nashangaa niko njia panda naomba msaada:
Mh! China? simu feki, redio feki,TV Feki, magari feki, mataili feki, piki piki feki, vipi kuhusu elimu nayo si f...i? kama wamekuchakachua achana nao apply nchi nyingine wanaotoa elimu bora.