Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Wana JF naomba msaada wenu mwenye kujua utaratibu wa kupata scholarship za china kupitia wizara ya elimu.
Maana nimepata official email toka China kuwa nimepata nijiandae kwa safari document zitakuja soon; Nimeenda wizarani wanasema jina langu halikurudi.
Nashangaa niko njia panda naomba msaada!
Maana nimepata official email toka China kuwa nimepata nijiandae kwa safari document zitakuja soon; Nimeenda wizarani wanasema jina langu halikurudi.
Nashangaa niko njia panda naomba msaada!