Vitendo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 582
- 103
Wadau wote waliomaliza form six wanaotaka kwenda kupiga DEGREE au kwa wakuu wanaotaka Nondoz za Masters,chuo hicho kipo poa sana na kinatoa fedha ya kutosha(Almost utasoma bure)..na kwa sasa wamepata kufahamu na kuiamini A-LEVEL ya Tanzania,baada ya vijana wa Kitanzania kwenda hapo na kufanya mambo ya uhakika...
Tuchangamkie hapo....
kumbuka kufanya SAT I&II,TOEFL or IELTS.
Inspiration is a Place | Jacobs University
ingia kwenye hiyo site,soma na uone walivyo.
Tuchangamkie hapo....
kumbuka kufanya SAT I&II,TOEFL or IELTS.
Inspiration is a Place | Jacobs University
ingia kwenye hiyo site,soma na uone walivyo.