Schule in during Germany East Africa

Schule in during Germany East Africa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1133025


Neno shule limetokana na Schule neno la Kijerumani. Ni sawa na hela limetokana na neno heller
 
Kweli ellar
Si ellar. Neno ni "Hel-ler". Hii picha ni Heller 1 ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Zamani ulizipata kwa wingi pale Masoko-Tukuyu. Hii ilikuwa kituoch cha jeshi la "Schutztruppe" (tamka shuts-tru-pe, jeshi lao) na wakati Waingereza walivamia mwaka 1916 Wajerumani walitupa sarafu zao ndogo kwenye ziwa la Masoko ambako watoto walizama chini na kuzi chukua kwa wingi.
Heller DOA.jpg

soma zaidi: https://sw.wikipedia.org/wiki/Hela
 

Attachments

  • 1561191298266.png
    1561191298266.png
    93.9 KB · Views: 27
  • 1561191312929.png
    1561191312929.png
    93.9 KB · Views: 29
  • 1561191322312.png
    1561191322312.png
    93.9 KB · Views: 23
  • 1561191350737.png
    1561191350737.png
    93.9 KB · Views: 22
  • 1561191378097.png
    1561191378097.png
    93.9 KB · Views: 22
  • Heller DOA.jpg
    Heller DOA.jpg
    49.4 KB · Views: 21
  • Heller DOA.jpg
    Heller DOA.jpg
    49.4 KB · Views: 28
Acha kubisha vitu usivyovijua. Google hata matamshi usikilize. Nimejifunza kijerumani baadhi ya maneno. Kila lugha ina misingi yake kwenye kusoma. Mfano, "r" kijerumani unajua inavyotamkwa?
Sentensi yako ya kwanza nakubali kabisa.
Sasa nakupa darsa bure (sitaki pesa). Silabi "-le" kwenye mwisho wa neno ni kile wanachoita "unbetonte Endsilbe". Unakubali,je? Isipikuwa lahaja chache za kusini ni kamwe "la". Kwa "Schule" kamwe, ninavojua.
Ukipenda kusikiliza matamshi, usiende google (kwao hujui kama ni sauti ya mtu au ya kompyuta),
jaribu hii:https://forvo.com/word/schule/
(Wajerumani wanne wanatamka neno "Schule")

Kuhusu "r" kuna tofauti sana kieneo. Watu wa kusini kama Bavaria na hao wa kaskazini sana wana "r ya ulimi mbele", kama Wahispania, au pia kama Wakenya wengi. Matamshi sanifu ni "r ya shingoni" inayofana na "gh" yetu katika "magharibi", "ghorub" (kama herufi a Kiarabu غ). Sehemu za magharibi kuna pia "r" kama Waeire au Marekani.
 
Sentensi yako ya kwanza nakubali kabisa.
Sasa nakupa darsa bure (sitaki pesa). Silabi "-le" kwenye mwisho wa neno ni kile wanachoita "unbetonte Endsilbe". Unakubali,je? Isipikuwa lahaja chache za kusini ni kamwe "la". Kwa "Schule" kamwe, ninavojua.
Ukipenda kusikiliza matamshi, usiende google (kwao hujui kama ni sauti ya mtu au ya kompyuta),
jaribu hii:https://forvo.com/word/schule/
(Wajerumani wanne wanatamka neno "Schule")

Kuhusu "r" kuna tofauti sana kieneo. Watu wa kusini kama Bavaria na hao wa kaskazini sana wana "r ya ulimi mbele", kama Wahispania, au pia kama Wakenya wengi. Matamshi sanifu ni "r ya shingoni" inayofana na "gh" yetu katika "magharibi", "ghorub" (kama herufi a Kiarabu غ). Sehemu za magharibi kuna pia "r" kama Waeire au Marekani.
Hapo nakubaliana na wewe. Sema kujifunza German niliishia njiani kutokana na mambo mengi. Ila nimeangalia hata kwenye youtube "learn German with Jenny" nimeona maneno mengi yanayoishia na "e" yanasikika "a".
Uvyonijibu hapo kuhusu "r" inatamkwa kama "غ" , nimejidhirisha utakuwa vizuri kwenye lugha. Hata hizo link ulizonitumia imesikika direct "e" hapo?
 
Hapo nakubaliana na wewe. Sema kujifunza German niliishia njiani kutokana na mambo mengi. Ila nimeangalia hata kwenye youtube "learn German with Jenny" nimeona maneno mengi yanayoishia na "e" yanasikika "a".
Uvyonijibu hapo kuhusu "r" inatamkwa kama "غ" , nimejidhirisha utakuwa vizuri kwenye lugha. Hata hizo link ulizonitumia imesikika direct "e" hapo?
Ndo unataka kubishana na Mwanamkiwi aliyelowea na kuoa Ujerumani?!
 
Hapo nakubaliana na wewe. Sema kujifunza German niliishia njiani kutokana na mambo mengi. Ila nimeangalia hata kwenye youtube "learn German with Jenny" nimeona maneno mengi yanayoishia na "e" yanasikika "a".
Uvyonijibu hapo kuhusu "r" inatamkwa kama "غ" , nimejidhirisha utakuwa vizuri kwenye lugha. Hata hizo link ulizonitumia imesikika direct "e" hapo?
Hujaleta mfano. Ni zaidi maneno yanaoishia kwa "-er" (kama "Heller") ambako matamshi mara nyingi huelekea kwa "-a". Links nilizotuma zote ni mwisho "-le" kama e nyepesi (pole, si polee).
 
Back
Top Bottom