Science ina support uwepo wa Mungu

Science ina support uwepo wa Mungu

Mkuu, mfano wako, hauna uhalisia.

Imani ya deities, imekuwapo kabla jamii hazijaanza changamana.

Je, unadhani ni nani aliisambaza imani hiyo kwa jamii zisofahamiana dunia nzima?
Kwa hiyo jua linaizunguka dunia?
 
Kwa hiyo jua linaizunguka dunia?
Mfano wako wa jua, hauendani na ulichojaribu kulinganisha.

Imani ya deities, imekuwepo duniani kote, kabla watu wa asia, hawajajua kuna watu wana-exist africa/ulaya/america.

Je, unaweza nambia ni nani aliisambaza imani hii duniani kote, ktk jamii zisofahamiana wala kuchangamana?
 
Mfano wako wa jua, hauendani na ulichojaribu kulinganisha.

Imani ya deities, imekuwepo duniani kote, kabla watu wa asia, hawajajua kuna watu wana-exist africa/ulaya/america.

Je, unaweza nambia ni nani aliisambaza imani hii duniani kote, ktk jamii zisofahamiana wala kuchangamana?
Mfano wangu wa jua upo relevant kabisa na kusudio la hoja yako uliyoijenga kuhusu wingi wa watu katika kuamini kitu ukitanabaisha kuwa ni lazima imani hiyo iwe ni ukweli.

Ndio maana nikakupa mfano wa idadi kubwa ya watu walioamini jua linazunguka dunia, kuwa imani hiyo haikuweza kubadili uongo kuwa ukweli eti kwasababu tu watu wengi wanaamini hivyo.

Ukweli haupimwi kwa idadi kubwa ya watu wanaosapoti au kukubaliana na kitu. Ukweli unapimwa kwa uthibitisho unaoweza kuwa verified.
 
Mkuu, unaposema kila kitu unamaanisha universe yetu, ambayo building blocks yake ni atom.
Kuna vitu katika universe yetu havijengwi na atom.

Time haijengwi na atom, space haijengwi na atom.

Subatomic particles hazijengwi na atom. Kwa sababu zenyewe ndiyo zinajenga atom.

Huelewi wapi?

Usikariri.
 
Mfano wangu wa jua upo relevant kabisa na kusudio la hoja yako uliyoijenga kuhusu wingi wa watu katika kuamini kitu ukitanabaisha kuwa ni lazima imani hiyo iwe ni ukweli.

Ndio maana nikakupa mfano wa idadi kubwa ya watu walioamini jua linazunguka dunia, kuwa imani hiyo haikuweza kubadili uongo kuwa ukweli eti kwasababu tu watu wengi wanaamini hivyo.

Ukweli haupimwi kwa idadi kubwa ya watu wanaosapoti au kukubaliana na kitu. Ukweli unapimwa kwa uthibitisho unaoweza kuwa verified.
Naona unazunguka tu, bila kujibu nilichouliza.

Nimeuliza, imani ya deities ilisambazwa na nani, ktk jamii tofauti duniani, wakati ambao jamii hazikufahamiana wala kuchangamana?
 
Mkuu, time na space haviundwi na atom bt vina-exist kwenye universe inayoundwa na atom.
Hapana, hapa unalazimisha tu.

Unaleta ubishi wa Simba na Yanga kwenye sayansi.

Atom yenyewe inaundwa na subatomic particles.

Sasa utasemaje ulimwengu unaundwa na atom wakati atom yenyewe inaundwa na subatomic particles na una time na space ambazo haziundwi na atom?

Unajua subatomic particles ni nini?

Subatomic particles nazo zinaundwa na atom?
 
Naona unazunguka tu, bila kujibu nilichouliza.

Nimeuliza, imani ya deities ilisambazwa na nani, ktk jamii tofauti duniani, wakati ambao jamii hazikufahamiana wala kuchangamana?
Nani ndio nini? Na kwanini iwe muhimu?

Kwanini swala la kujua "nani msambazaji" liwe muhimu zaidi kuliko kuangalia uhalisia wa jambo husika?

Kwanini iwe ni muhimu sana kumjua ni nani msambazaji wa dhana ya flat earth iliyo spread around the globe kuliko kujua ukweli wa dhana hiyo?
 
Kuna vitu katika universe yetu havijengwi na atom.

Time haijengwi na atom, space haijengwi na atom.

Subatomic particles hazijengwi na atom. Kwa sababu zenyewe ndiyo zinajenga atom.

Huelewi wapi?

Usikariri.
Mkuu, time & space kutojengwa na atom haiondoi uhalisia wa universe kujengwa na atom.

Kiranga anaundwa na atom, but anaproduce sauti na joto visivyo na atom ambavyo haviondoi uhalisia wa yeye kuundwa na atom.
 
Mkuu, time & space kutojengwa na atom haiondoi uhalisia wa universe kujengwa na atom.

Kiranga anaundwa na atom, but anaproduce sauti na joto visivyo na atom ambavyo haviondoi uhalisia wa yeye kuundwa na atom.
Universe ni nini?

Atom inaweza kuwepo bila space?
 
Nani ndio nini? Na kwanini iwe muhimu?

Kwanini swala la kujua "nani msambazaji" liwe muhimu zaidi kuliko kuangalia uhalisia wa jambo husika?

Kwanini iwe ni muhimu sana kumjua ni nani msambazaji wa dhana ya flat earth iliyo spread around the globe kuliko kujua ukweli wa dhana hiyo?
Unapaswa kujibu, nilichouliza kabla hujauliza.
 
Hapana, hapa unalazimisha tu.

Unaleta ubishi wa Simba na Yanga kwenye sayansi.

Atom yenyewe inaundwa na subatomic particles.

Sasa utasemaje ulimwengu unaundwa na atom wakati atom yenyewe inaundwa na subatomic particles na una time na space ambazo haziundwi na atom?

Unajua subatomic particles ni nini?

Subatomic particles nazo zinaundwa na atom?
Mtu akisemaa universe inaundwa na atom, mwingine akasema imeundwa na proton, neutron & electron wote wanamaanisha kile kile.
 
Mtu akisemaa universe inaundwa na atom, mwingine akasema imeundwa na proton, neutron & electron wote wanamaanisha kile kile.
Hapana.

Hawamaanishi kile kile.

Atom ni atom, proton, neutron na electron ni subatomic particles.

Usilazimishe mambo.
 
Back
Top Bottom