Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Sio mtizamo wangu ndio uhalisia ulivyo.Ni mtizamo wako.
Nashukuru hapa umeanza kunielewa sasa ...!!Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na creator, Hata creator wa kila kitu lazima awe na creator wake mwingine.
Katika hivyo vyanzo vingi visivyokua na ukomo, Chanzo cha mwisho kikaamua kujiongeza kika create universe, Kikaunda ulimwengu na sisi...Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina creator, Hata Dunia haina na haihitaji kuwa na creator.
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Hata chanzo cha kila kitu lazima kiwe na chanzo chake kingine.
Pasiwepo kitu chochote kile kilicho exist chenyewe tu pasipo chanzo, Maana kitazua maswali ya kiliwezaje ku exist chenyewe pasipo chanzo.
Hivyo kutakuwa na vyanzo vingi visivyokuwa na mwisho(Endless) to infinity...
Ukishasema visivyokuwa na "ukomo" Huwezi kuwa na mwisho.Nashukuru hapa umeanza kunielewa sasa ...!!
Katika hivyo vyanzo vingi visivyokua na ukomo, Chanzo cha mwisho kikaamua kujiongeza kika create universe, Kikaunda ulimwengu na sisi...
Kama hakuna anayejua mwanzo, Uliwezaje kujua yupo muumba?Narudia tena, Logically hakuna anayejua Mwanzo...
Unathibitishaje kuna chanzo cha mwisho?Sasa haijalishi vimepita vyanzo vingapi visivyokuwa na mwisho Ila kwakua tu Chanzo cha mwisho kwenye mtiririko kiliamua kujiongeza kika create universe na kutuumba Sisi, kina haki miliki zote kuitwa Muumba...
Kama kitu hakina chanzo, Huwezi tena kutaka kiwe kimetoka sehemu fulani.NB: Maswali yako najibu yangu hujibu, ni wakati sasa wewe kunijibu na sio kunirundikia maswali ...!!
Kama ulimwengu hauna chanzo, Ulimwengu huu tunaouona umetoka wapi?
Tumeukuta tukiwa tumetokea wapi?Uimwengu ulikuwepo ndio maana tumeukuta upo na utaendelea kuwepo.
Binadamu tunazaliwa kwenye ulimwengu ambao tayari upo. Lakini hatujui ulimwengu ulikuwepo vipi, Au ulifanyika vipi.Tumeukuta tukiwa tumetokea wapi?
Unajua vipi kwamba ulimwengu ndiyo umemzaa binadamu ikiwa hujui chochote kuhusu ulimwengu?Binadamu tunazaliwa kwenye ulimwengu ambao tayari upo. Lakini hatujui ulimwengu ulikuwepo vipi, Au ulifanyika vipi.
Mimi nimeuliza swali ila ulichofanya ni kuja kujichekesha, pia umeongeza msamiati mwingine. Haya unijibu Sasa, Mungu ni nini au ni nani? Na shetani ni nini/nani pia??Nikikutana na mawazo kama yako [emoji23][emoji23] huwa nawaza nafika mbali sana. Nafikiri kuna vibaraka wa shetani moja kwa moja wanao pinga uwepo wa Mungu na na Malaika wa shetani wanao ishi na sisi kwa sura za kibinadamu.
Daaah!! Am sorry lakini mawazo yangu tu
Sawa mkuu maana hata hivyo siwezi badili mtazamo wakoKwanza huyo Shetani Hayupo.
Mungu Hayupo.
Vilevile Malaika Hawapo.
Vyote hivi ni dhana za kufikirika tu, Mlizo jitungia vichwani mwenu wala hamuwezi kuthibitisha uwepo wao.
Listen human, Mungu yupo ! Wacha kuzunguka zungukaThis kind of fallacy is called, Logical non sequitur.
Una unganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
Hakuna uhusiano wowote ule wa Mungu na Atom.
Atom ni kila kitu, And everything is made up of Atoms.
Sasa huyo Mungu ni nini?
Kama si dhana uchwara mlivyo jitungia vichwani mwenu na inayo exist kwenye vichwa vyenu tu, Ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.
Yupo wapListen human, Mungu yupo ! Wacha kuzunguka zunguka
Sijichekeshi. Hata hivyo utakua mtu wa wa ajabu kufikiri kua hakuna Mungu!!Mimi nimeuliza swali ila ulichofanya ni kuja kujichekesha, pia umeongeza msamiati mwingine. Haya unijibu Sasa, Mungu ni nini au ni nani? Na shetani ni nini/nani pia??
Kwahiyo hapa Mungu unamfananisha na Atom kweli? 😀Salaam wakuu,
Science inasema, kila kitu kimeundwa na atom, bt maandiko yanasema, kila kitu kimeundwa Mungu.
Science inasema atom imeundwa na sehem 3(proton, neuron & electron bt maandiko yanasema Mungu anaundwa na sehem 3(Mungu baba, mwana & roho mtakatifu).
Kwa mtiririko huo, nahitimisha kwa kusema, science inasupport uwepo wa Mungu kwa 100%.
Kwahiyo umeamua Kukaza tu au kweli hujui alipoYupo wap
Ndio ndio maana haya mambo mnayojifunza humo makanisani na misikitini yakaitwa ni ya kiimani , shida inakuja pale mnapotaka kulazimisha kwamba ndio ukweli mwenyewe 🤔Kwahiyo umeamua Kukaza tu au kweli hujui alipo
Huwa hatuuliziulizi kuhusu Imani maana Imani ni kuamini tu swala lilivyo. Shida huja tukianza kulinganisha ya darasani na kwenye nyumba za ibada halafu tukaishia kusema atom ni sawa na Mungu. Labda mtu atengeneze hoja ambayo itatupitisha kwa upana wake tukaelewa haya mamboNdio ndio maana haya mambo mnayojifunza humo makanisani na misikitini yakaitwa ni ya kiimani , shida inakuja pale mnapotaka kulazimisha kwamba ndio ukweli mwenyewe 🤔
Huyo Mungu kama yupo ajitokeze hadharani mwenyewe ajidhihirishe yupo, Kama ana huo uwezo.Listen human, Mungu yupo ! Wacha kuzunguka zunguka
Ndio maana watu waliotengeneza dhana hiyo ya imani waliweka na vitisho kwa sababu walijuq ipo siku watu watahoji kwa kasi mno🤔Huwa hatuuliziulizi kuhusu Imani maana Imani ni kuamini tu swala lilivyo. Shida huja tukianza kulinganisha ya darasani na kwenye nyumba za ibada halafu tukaishia kusema atom ni sawa na Mungu. Labda mtu atengeneze hoja ambayo itatupitisha kwa upana wake tukaelewa haya mambo
Bro umeandika meengi na umejibu ambayo sijakuuliza, sayansi ipi imesema mtu katoka Kwa nyani!? Hata ivo hakuna mahali nmesema habari za sayansi.Sijichekeshi. Hata hivyo utakua mtu wa wa ajabu kufikiri kua hakuna Mungu!!
Maana hata hio sayansi ulio soma, haikupi uhakika wa dai lako, kwamba dunia imetokea kwa ajari.
Hivyo basi wewe kama ni binadamu wa kawaida utakubaliana na mimi, kwamba si kweli katika hilo
Imagine mtu ametokana na nyani!! Kama sayansi inavyo dai. Sasa hawa nyani waliopo toka wewe umezaliwa hawatamani kuwa watu?
Sikuhukumu kwanamna ya mtazamo wako. Ila nina wasiwasi na ubinadamu wako yawezekana wewe si binadamu wa kawaida, ila unaishi miongoni mwetu kwa sura yetu ila wewe si mwenzetu
mtoto kua atheist. nadhani unalazimisha kutetea, ulichoaminishwa na nadharia yako ya atheism ilorasmishwa na yule mhuni wa kifaransa, bila yule jamaa sidhani kama tungedebate hapa.Kama mtoto hana ufahamu hawezi kuwa na imani ya deity yeyote yule.
Hana ufahamu, Hana imani.
Atheist tuna ufahamu, ila hatuna imani.
Theists mnatumia ufahamu huohuo, Kusema kuna Mungu, Kwa sababu ndivyo mlivyo aminishwa na wazazi/walezi wenu.
Imani ni kutokuwa na uhakika juu ya jambo fulani.