Scientific proof big bang never happened

Scientific proof big bang never happened

In the name of Science any one can say anything confusing enough and people can hail you as well. My Science tells me that a human being was once a pig.
it is true accoding 2 ur thoughts lkn it will take 10000 yrs in order 2 convice the mass of people
 
''God created man in His own image, in the image of God He created him; male and female He created them...'' (Genesis1:27)
Ukiwa mpinga science unatakiwa kuwa mpinga genesis pia...................Genesis haina ushahidi but at least sayansi inakupa a room to prove na kukubali au kukataa.

How can u say electron or DNA does not exist??? Nguvu ya science ipo kwenye application yake... u have heard about x-rays, gamma rays etc... you can not find these in the bible, You can not get Internet from the bible... kwa maana hiyo hauwezi kupinga tafiti za kisayansi kwa kutumia biblia. unapoteza....

Usiwe mawazo ya flat earth society .... just by looking in the sky unaconclude kwamba jua linazunguka na dunia ndio imesimama.
 
Inaonekana una waaminia sana hao jamaa?! Na tayari ume kwisha i set akili yote wanayosema ni sawa...
Kwa vile more than 90% ya maisha yako unavyoyandesha yameboreshwa na hao unaowapinga.... Si yesu si Muhammad pamoja na utume wao hawajawahi kuendesha gari/ au kulipanda, hawajawah kutumia simu, internet etc... Continue enjoying science my friend....
 
Ukiwa mpinga science unatakiwa kuwa mpinga genesis pia...................Genesis haina ushahidi but at least sayansi inakupa a room to prove na kukubali au kukataa.

How can u say electron or DNA does not exist??? Nguvu ya science ipo kwenye application yake... u have heard about x-rays, gamma rays etc... you can not find these in the bible, You can not get Internet from the bible... kwa maana hiyo hauwezi kupinga tafiti za kisayansi kwa kutumia biblia. unapoteza....

Usiwe mawazo ya flat earth society .... just by looking in the sky unaconclude kwamba jua linazunguka na dunia ndio imesimama.
Ulipogusia flat earth umenikurupua na mimi.. Sawa internet xrays nk havomo ktk bible... Ila science haijaprove Jesus alipoongea na watu maelfu bila kipaza sauti alitumia nini?
Kwa upande wa flat earth wewe kama wewe unaona kipi kinazunguka kati ya jua na mwezi?
 
Ulipogusia flat earth umenikurupua na mimi.. Sawa internet xrays nk havomo ktk bible... Ila science haijaprove Jesus alipoongea na watu maelfu bila kipaza sauti alitumia nini?
Kwa upande wa flat earth wewe kama wewe unaona kipi kinazunguka kati ya jua na mwezi?
How do u know yesu aliongea na maelfu kwa wakati mmoja??? Ndio ujue hata hawa ambao wameandika maandiko kuna mambo mengi sana wameyaacha... ndio maana mimi na wewe leo tuna maswali mengi sana ambayo bible can not answer... mtabaki kusema bible is not a scientific book. (kumbe kama bible ingechomekea scientific concept ndio ingekuwa njia nyepesi ya kuwafanya watu waamini na ingekuwa njia nyepesi ya kuthibitisha usahihi wake, kama ingetuambia about invisible particles katika ulimwengu wetu alafu sayansi ingekuja kutufungua sisi wa karne hii
... manake tungejiuliza how come yesu amejuaje kuhusu our universe? )...

Flat earth society wanaamin dunia yetu sio mviringo bali ipo kama sinia... yaani uso wa dunia upo flat hauko curved.

Vyote vinazunguka but with respect to something... jua linazunguka our milky way galaxy, dunia inalizunguka jua, mwezi unazunguka dunia.
 
Mungu wa waislamu hataki viumbe vyake visikilize music.... Mungu wa wakristo je anasemaje??? Mungu kapewa attributes kibao ambazo zinapingana (hasira, furaha, wivu, upendeleo etc).

Ndio maana nasema hivi nimezaliwa kwenye corrupted world... ambayo imejaa confusion ya mambo kibao, Nikisema niwe follower kwenye upande wowote wa dini upande mwengine wa dini utasema naenda motoni... ina maana kila upande utakaoufuata bado adhabu ya moto ipo kwako according to Mungu wa upande mwengine.
Omba ukamkute Mungu wa upande wako na si wa upande mwengine...
If I believe in creation of our universe kwangu mimi hiki kinanitosha... hayo mengine yote ambayo mmempa creator hayalazimiki kufuatwa...
Sijui nitoe sadaka kanisani (kwa mtazamo wangu huu naona ni utapeli, watu wamejitengeneza ajira hapa). Sijui nikae nifanye maombi ili mvua inyeshe...(hapa hamna kitu, kuna vitu kwenye nature vina uwezo wa kuheal na vipo visivyo na uwezo wa kuheal).
Ukikata majani ukiyafanyia maombi au la bado yataendela kuota, ila ukikata uume wako au ukikata mkono wako hakika hata umuombe Mungu wewe na dunia nzima, hautaoteshwa mkono mwengine wala uume mwengine.
 
Back
Top Bottom