SCIENTIFIC RESEARCH PAPER: Super Energy Weapons Triggering Earthquakes, Volcanoes and Other Earth Movements

SCIENTIFIC RESEARCH PAPER: Super Energy Weapons Triggering Earthquakes, Volcanoes and Other Earth Movements

Preamble:​

I thought it important to bring this paper to the attention of the doubting Thomases and sleeping masses.Most people still believe that what we used to call natural disasters are "still natural," not at all,NWO Cabal scientists have now at their disposal
Super Energy weapons for triggering Earthquakes, Volcanoes, other Earth movements,floods,hurricanes,droughts and even out of the ordinary snowfalls.

To me there is no doubt at all that the Turkiye earthquake is man made.

The unusually widespread and extraordinary degree of destruction brought about by these Earthquakes serve as the first major clue proving that this was yet another barbaric act of Zio-Anglo-American geoterrorism.​

But why? There are actually many reasons why the Axis of Evil is hellbent on bringing Turkey to its' knees.​

• Turkey has refused to permit Sweden (and Finland) into NATO pending the outcome of the “harboring terrorists” issue​

• Turkey has been working closely with Russia, Syria and Iran to permanently resolve the Syrian conflict​

• Turkey has been collaborating with Russia all along to help negotiate a peace treaty with Ukraine​

• Turkey’s territory has become Russia’s Plan B where it concerns natural gas pipelines that were once operative in Ukraine, as well as presenting an alternative to the destroyed Nord Stream pipelines​

• Turkey has made major purchases of armaments from Russia including the S-400 air defense system against the strict demands of the United States​

• Turkey has been in an intensifying cold war with fellow NATO member Greece which is viewed as highly disruptive to the central mission of the North Atlantic Terrorist Organization

• Turkey has also recently attacked the Syrian Kurds who are considered the U.S. partner in the fake fight against ISIS (Israeli Secret Intelligence Service)​

These are just a few of the reasons why the Axis of Evil is quite unhappy with Turkey. There are, in fact, several other motives for this cataclysmic geoterrorist attack which are well beyond the scope of this brief report.But these few reasons should be able to prove that the Zio-Anglo-American Axis of evil is responsible for the Mega Turkiye-Syria earthquake.​


Read the scientific paper below to see it all.

Posted on October 1, 2022



SCIENTIFIC RESEARCH PAPER: Super Energy Weapons Triggering Earthquakes, Volcanoes and Other Earth Movements​

Super Weapons (Energy Weapons) for​

Inducing Earthquakes, Landslides,​

Sinkholes, Snow Avalanche, and​

Erupting Volcanoes​

Sheshpari Paper Direct Energy Weapons Inducing Earthquakes.​


Morteza Sheshpari
Faculty of Engineering, Dept. of Geotechnical Engineering , University of
Ottawa, ON, Canada




































___
http://themillenniumreport.com/wp-c...rect-Energy-Weapons-Inducing-Earthquakes..pdf
_____
https://www.semanticscholar.org/paper/Super-Weapons-(Energy-Weapons)-for-Inducing-Snow-
Sayasi hapo ni ya tectonic plates movements, hilo halina ubishi.
Earh movements zinahitaji forces kubwa sana , kubwa sana ili upate movement ya hata 1 centimetre.
Kwamba hizo forces zinaweza kuwa induced is just pipe dreams.

Na kama swala ni kuiharibu Uturuki, basi logic ni kama hizo forces zinaweza kuwa induced, basi zifanywe huko Urusi-arch enemy wa the West!

Argument doesn't make any scientific sense.
 
Mathanzua
By the way;
Naomba msaada wa namna ya ku-dispaly pdf file katika namna kama hii ambayo wewe umefanya. All I can manage ni kuweka file kama attachment tu na si vinginevyo. Natanguliza shukrani zangu
 
Kwamab hizo forces zinaweza kuwa induced is just pipe dreams.
Hiki kilichoandikwa hapa kinaweza kuwa ni speculation, isipokuwa kutengeneza man made earthquakes kwa sasa ni kama kuperuzi tu kwenye smartphones; and from experience ni kwamba kwa mtu ambaye ni mtaalamu ila siyo mtaalamu sana, akipewa waveforms mbili, yaani signal mbili moja ikiwa imetokana na tetemeko la kawaida na nyingine ikiwa imetokana na tetemeko la kutengeneza kama vile la nuclear explosion, hawezi kuzitofuatisha signal hizi.

Kutokana na hali hiyo, kuna organisation moja ya kimataifa huko Vienna, Austria inaitwa CTBTO (Homepage | CTBTO) ambayo imekuwa ikishughulika na maswala haya ya kutofautisha kati ya matetemeko ya kawaida na matetemeko ambayo ni man made yakiwemo yale yanayotokana na nuclear explosion.

Mkuu mbona hata zile explosions za kwenye migodi tu huwa zina uwezo wa ku-trigger minor eathquakes?
 
Acha uwongo wa kijinga wewe...
una ushahidi gani kwamba huu ni uongo?You are obviously the sleeping masses or doubting Thomases ambao bado wanadhani the the so called natural disasters are natural,wake up, we have way passed that era.
 
Hizi ni conspiracies tu, Turkey ipo kwenye fault lines kabisa na inajulikana hivo toka zamani
Pia yawezekana kwenye hiyo "faultline" kudidimiza hizo plates na kusababisha mgandamizo ambao hukaa kwa muda mrefu ukisubiri trigger points ziachie na ndio tetemeko hutokea.

Kumbuka Turkey ipo kwenye Anatolia Plate ambayo imekinzana (kimgandamizo) na Arabian Plate. Lile shinikizo au Stress linapotokea kuondoa ule mvutano au msuguano kati ya sahani hizi mbili ndipo tetemeko la ardhi hutokea.
 
Nilianza kusikia kuhusu HAARP tangu nasoma shule na niliifuatilia sana kwasababu lilikuwa linafurahisha. Katika usomaji wangu wa historia nilichojifunza ni kutokubaliana na kila taarifa kwa haraka, lakini pia kutokuipuuzia. Kutokufahamu kitu wewe hakuondoi ukweli wala uhalisia wa uwepo wa hicho kitu, nadhani hapa wanadamu wengi ndiyo tunakwama. Tuhuma za HAARP, CERN na DARPA naziangalia kwa jicho la umakini, lakini siwezi kuzipuuza hata kidogo.

Dunia imekuwa na vipindi tofauti, na kuna baadhi ya mambo ya kale mpaka leo hii wanadamu na akili yao wameshindwa kabisa kuyaelezea vizuri. Mambo yaliyofanywa na binadamu miaka zaidi ya 4000 iliyopita. Mfano, mapiramidi ya Misri mpaka leo hii yameacha kitendawili kikubwa kwa wanadamu hata wale ambao wamesoma kuliko sisi. Wengine wanasema ni makaburi ya mafarao, lakini siku za karibuni imekuja nadharia nyingine inasema mapiramidi ni vinu vya nishati (Power-Plants) na wanatoa ushahidi kabisa.

Inasemekana, Waparthi/Waajemi (Parthians) walikuwa na teknolojia ya kukamata radi (Lightining-Trap) kwenye chupa maalumu miaka mingi iliyopita. Hili lilionekana ni ulaghai na ngano za kusadikika, lakini miaka ya hivi karibuni wanasayansi wameweza kutengeneza radi ndogo kwenye chupa. Hivyo ile nadharia kwamba radi inaweza kukamatwa inaonekana ina ukweli kidogo. Japo bado tunahitaji ushahidi mkubwa.

Eneo la dunia la Mesapotamia ya kale kule Iraq wanahistoria na wanasayansi walichimba chini na kukuta eneo hili limejaa (Carbon Isotopes) ambayo ilikutwa hata kwenye mafuvu ya watu. Hili lilionesha kwamba lile eneo liliwahi shambuliwa na mionzi. Wakachimba zaidi na kutambua kwamba kitu chenye mlipuko kama ule wa nishati ya atomic kiliwahi kulipuliwa pale miaka 5000 iliyopita. Sasa sisi tumeanza kujifunza kuhusu nishati ya atomiki na kutengeneza makombora mnamo karne ya 20. Wanahistoria wanatuambia kwamba sisi siyo wa kwanza kufanya hivyo. Hili linafikirisha.

Kuna jamii za kiafrika kama The Dogon Tribe kule Mali, wamekutwa wanamiliki ramani ya anga la nje (Outer Space) ambapo kuna sayari nyingi ambazo haziko hata kwenye mfumo wetu wa jua na wanasayansi hawasadiki kama zitakuwepo. Miaka zaidi ya 2000 iliyopita watu wa Afrika walikuwa na ramani ya sayari zote zinazolizunguka jua (Solar System). Walifahamuje hayo yote bila kuwa na teknolojia ya kisasa ??? Binafsi hata mimi sina majibu. Mwaka 1970 wanasayansi wa NASA kwa mara ya kwanza wanaifahamu sayari ya SIRIUS X, waliiona kwenye michoro ya Dogons wa Mali, lakini wakapinga.

Miaka michache baadaye wakaigundua ile sayari na kutambua kwamba michoro ya Dogon ilisema ukweli kuliko Hadubini zao kubwa (Giant Telescopes). Wameifahamu SIRIUS X, lakini sayari nyingine kwenye mchoro bado hawajaziona. Ukimwambia mtu mwenye akili ya kawaida, haya mambo hawezi kukubaliana nayo, lakini ni ukweli ambao upo na hata wanasayansi wameshindwa kuuelezea.

Namalizia hoja yangu na NIKOLAI TESLA, ambaye ni uthibitisho tosha kwamba INTELLIGENCE IS ALL ABOUT IMAGINATION AND NOT KNOWLEDGE. Kuna mambo aliyafanya huyu bwana mpaka leo hii wanasayansi wanafikiria tu kuyafanya, huku wajinga na wapumbavu wengine tulioenda shule na kupata shahada zetu za sayansi na tafiti tukidhani kwamba ni mambo yasiyowezekana. Tesla aliifahamu IONOSPHERE na nguvu ya mapinduzi ambayo ingeletwa kwa mwanadamu. Akaenda mbali kabisa na kutengeneza gari ambayo betri yake inajichaji yenyewe. Akapeleka pendekezo kwa mabeberu ya Marekani kwamba wafanye hivyo lakini akapigwa chini. Akili ya TESLA ilikuwa iko miaka 3000 mbele.

NB 1: Mwaka 1907, Balozi wa Uingereza nchin Ujerumani, EYRE CROWE, aliandaa muhtasari wake wa kijasusi (THE CROWE MEMORANDUM) kwa serikali ya Uingereza kwamba Ujerumani ananunua chuma kingi mno na anatanua jeshi lake la maji. Wengi walipuuza kwasababu hawakuziona hizo meli zikiwa sehemu yoyote ile na bahati mbaya sana mwenye teknolojia kubwa ya majini (Maritime Technology) na meli za kisasa alikuwa ni Muingereza. Kumbe Ujerumani alikuwa hatengenezi meli zinazoelea majini, yeye amekuja na kitu kipya kabisa, NYAMBIZI (Submarine/U-Boats), silaha ambazo hakuna nchi iliyowahi kufikiria kuzitumia jeshini kwa kiwango kile cha Ujerumani.

Vita ya dunia ilipoanza, ndipo Uingereza walitia akili kwamba kumbe kupigana kutokea chini ya maji inawezekana. Hivyo binafsi siwezi kupuuza chochote kwasababu tu akili yangu inaniambia hakiwezekani au sijawahi kukiona.

NB 2: VITA VYA UKRAINE, ndiyo mara ya mwisho kabisa mataifa makubwa yatatumia teknolojia na mbinu za kivita kutokea karne ya 20. Katika lugha ya kiingereza, nasema hivi: It's the last time major powers will ever use means and methods of warfare from the 20th Century. Mapokeo ya kijeshi (Military Doctrines) ya karne ya 20, yaliangalia vita katika maeneo matatu makubwa ya, VITA VYA ANGA, VITA VYA ARDHINI na VITA VYA MAJINI.

Leo hii kuna mapokeo mapya kabisa kwenye sayansi ya jeshi kwasababu dunia imebadilika mno na uwanja wa vita hauko tu kwenye anga, ardhi na maji. Mambo kama mtandao (Cyber-Space), Anga la nje (Outer-Space), Baiolojia (Biology and Organic Fields), Uchumi (Economy), Taarifa (Information) na Mazingira (Geography, Nature and Environment) n.k yamegeuka kuwa uwanja wa vita na silaha hatari mno zimetengeneza na mataifa makubwa ili kupambana. Sisi bado hatujaziona hizi zilaha kwasababu bado tunaangalia mambo ya karne ya 20.

Changamoto kubwa kiusalama kwa dunia ya leo hii ni hizi hapa:
-Cyber-Warfare,
-Weaponisation of Nano-Technology,
-Artificial Intelligence & Autonomous Weapons,
-Weaponisation of Genetic Engineering,
-Electronic Warfare,
-Weaponisation of Outerspace.
- Energy Weapons

Mataifa makubwa yametumia silaha na mbinu mpya (New Means and Methods of Warfare) tajwa hapo juu kwa kiwango kidogo sana, na imeonekana zina hatari kubwa mno kuliko matumizi ya vifaru nyambizi na ndege. Urusi, Marekani na Isreali wametumia kwenye vita zao Artificial Intelligence, Cyber-Warfare, Electronic Warfare na Space-Warfare katika kiwango kidogo tu (SUPPORT OPERATIONS) ila madhara yake yamekuwa ni makubwa mno. Siku wakiamua kutoa kila kitu nje itakuwa ni hatari mno.

Ikitokea vita kubwa baina ya mataifa kama Uchina na Marekani, silaha kama Abram Tanks hazitatumika katika kiwango kikubwa kwasababu zimepitwa na wakati (They are Obsolete) na kijeshi kwenye dunia hii ya leo ambayo karibia kila mtu anamiliki satelaiti na rada za kisasa, vifaru na mizinga havina maana kabisa (They are visible, and make a Military Commander lack the Element of Surprise)....

Amin, Amin nawaambia silaha ambazo Marekani, Uchina na Urusi wanazo leo hii ni zile za kufikirika kwenye filamu kama Star-Wars, Star-Treck, X-Men na Universal Soldier. Siku wanapambana basi wanadamu wengi mno watapoteza maisha katika kiwango kisicho cha kawaida......
 
Mkuu, hiki ukisemacho si kweli.
Nipe ushahidi kwamba si kweli.Usitumie tu mawazo yako,mimi nimekupa evidence kuhusu wanao husika,give me yours,you just can't say this is not there.Hiyo sio rationality ninayoijua.
 
Nipe ushahidi kwamba si kweli.Usitumie tu mawazo yako,mimi nimekupa evidence kuhusu wanao husika,give me yours,you just can't say this is not there.Hiyo sio rationality ninayoijua.
Naona waniacha kidogo umetaja Media, je hapo yahusika vipi?
 
Sayasi hapo ni ya tectonic plates movements, hilo halina ubishi.
Earh movements zinahitaji forces kubwa sana , kubwa sana ili upate movement ya hata 1 cemntimetre.
Kwamab hizo forces zinaweza kuwa induced is just pipe dreams.

Na kama swala ni kuiharibu Uturuki, basi logic ni kama hizo forces zinaweza kuwa induced, basi zifanywe huko Urusi-arch enemy wa the West!

Argument doesn't make any scientific sense.
I second this.

Kama kuna hizo weapon za kusababisha tectonic plates zihame basi Nyuklia ni chamtoto.

Artificially hiki anachokisema jamaa hapa huwa kinatokea baada ya kuchimbwa DAMs kubwa kubwa mfn ile issue ya Ethiopia kama sijakosea, sasa plates zikiwa zinafanya adjustment ndipo unaweza pata tetemeko lkn sio la kiwango kikubwa kama lililotokea uturuki. Na ukisema hio njia ndo wametumia bado hai-make sense
 
Naona waniacha kidogo umetaja Media, je hapo yahusika vipi?
Nimetaja media wapi mkuu,labda hukuelewa au nimekosea tu,media haihusiki,organizations nilizozitaja ndizo zinazo husika.
 
Surovikin,umesema hukatai kwamba tekinolojia ya kutengengeneza Volcanoes,Earthquakes etc. ipo.Your comment: "Sikatai kwamba tecnolojia ya kutengeneza majanga kama matetemeko haipo, ila hawa NATO wangekuwa nayo lazima wangeijaribu kwenye miji ya Beijing, Hong Kong, Shanghai, Moscow, st Petersburg, Tehran, Pyongyang, Minsk, Brasilia na miji mingine ambayo wanaiona kama miji ya maadui zao." Tuanzie hapo,sasa unafikiri nani anayo?

Nikuambie kitu ambacho obvious hukijui.Si kila unayeona ni adui wa NATO,Russia au China ni adui kweli,in most cases wanadanganya wadanganyika,lakini they agree in the endgame,"human enslavement and domination." So be extremely careful on how you interpret World affairs,the World is more complex than you think.
Watu hawaelewi hivyo,,,,,,,,,.........vita ya 1 na ya 2 yote ilikua sababu ya agenda maalum,,huku tunapoelekea upepo unahamia china,,.....jamaa anakuja kua superpower ila na ushetani mwingi zaidi kuliko hata wamagharibi,,,,,corona majaribio yalikua kwa mchina,,, na mchina ana system nyingi sana za ku monitor raia wake na hii kitu itakuja kua introduced karibia dunia nzima.............haya matukio ya sasa ni changamsha bwege tu jamaa plan ni nyingine
 
Watu hawaelewi hivyo,,,,,,,,,.........vita ya 1 na ya 2 yote ilikua sababu ya agenda maalum,,huku tunapoelekea upepo unahamia china,,.....jamaa anakuja kua superpower ila na ushetani mwingi zaidi kuliko hata wamagharibi,,,,,corona majaribio yalikua kwa mchina,,, na mchina ana system nyingi sana za ku monitor raia wake na hii kitu itakuja kua introduced karibia dunia nzima.............haya matukio ya sasa ni changamsha bwege tu jamaa plan ni nyingine

Mkuu yote yanayoendelea duniani kwa sasa ni stages tu za kuelekea kwenye One Global Government,One Global Central Bank Digital Currency (GCBDC)and One Global Religion based on the Chinese model,na the NWO bosses including Claus Schwab wamesema wazi.China wamewezeshwa wawe kama walivyo by the NWO Cabal as a model.Make no mistake about it,what is happening in China is a NWO brain child.
 
Hiki kilichoandikwa hapa kinaweza kuwa ni speculation, isipokuwa kutengeneza man made earthquakes kwa sasa ni kama kuperuzi tu kwenye smartphones; and from experience ni kwamba kwa mtu ambaye ni mtaalamu ila siyo mtaalamu sana, akipewa waveforms mbili, yaani signal mbili moja ikiwa imetokana na tetemeko la kawaida na nyingine ikiwa imetokana na tetemeko la kutengeneza kama vile la nuclear explosion, hawezi kuzitofuatisha signal hizi.

Kutokana na hali hiyo, kuna organisation moja ya kimataifa huko Vienna, Austria inaitwa CTBTO (Homepage | CTBTO) ambayo imekuwa ikishughulika na maswala haya ya kutofautisha kati ya matetemeko ya kawaida na matetemeko ambayo ni man made yakiwemo yale yanayotokana na nuclear explosion.

Mkuu mbona hata zile explosions za kwenye migodi tu huwa zina uwezo wa ku-trigger minor eathquakes?
Ningekubaliana na wewe ingawaje binadamu tunajilimit kwenye limitations za imaginations na uwezo wetu.
Natural forces kitu ingine bro!
 
Acha uwongo wa kijinga wewe...
Hili jamaa ni zwazwa sana covid mmarekani , war on Ukraine mmarekani , earthquake Marekani , kuna watu ni wapumbavu sana hivyo vichwa ni bora Mungu angevitengszea kama vibuyu vya kuhifadhia maziwa
 
pumba tupu

vipi lile la 1999, lililoua watu takriban 18,000 , vipi la kutengeneza nalo ?

tsunami ( earthquake ya baharini ) za Japan na Indonesia, nazo za kutengeneza ?

huna hoja, jombaa wapo kwenye seismic zones,
 
Back
Top Bottom