Scopolamine Burundanga ni nini?

Scopolamine Burundanga ni nini?

Mashirika kama CIA wanaitumia kila mara kuwahoji magaidi. Akipewa mtu lazima aongee Siri zote.
 
Picha haifunguki mkuu
JamiiForums1115025684.jpg


Jr[emoji769]
 
Hilo kule kwetu huwa lipo, mmmh, maisha haya kumbe ndiyo kazi yake
 
Post in thread 'Malawi nao wapiga stop Kenya airways' by Millitarydoctor has been reported by pingli-nywee. Reason given:
Abusive language.

Content being reported:
Yea na kuna vichaa watz hapa ambao wanacomment kuhusu suala ambalo hawajalielewa hata kidogo. Kisa lugha gongana, alafu wameamua kufa nayo hivyo hivyo, tu mithili ya mtu anayesoma gazeti juu chini. [emoji1] Kiswahili kinatosha pia, wapo wengi humu ambao wanaweza wakawapa tafsiri, acheni ubishoo. KQ wameulizia kuhusu uwezekano wa usafiri wa anga kurejea nchini Malawi, wakiwa na nia ya kuanza safari zao. Ila wamalawi wakajibu kwamba hawajafungua anga zao kwa ndege zozote kutoka nje ya Malawi. Wanasema kwa sasa bado wanaendelea na shughuli za kuwezesha usafiri wa anga ambao utatilia maanani tahadhari dhidi ya maambukizi ya COVID-19. Eti KQ imepigwa stop, kwani ATCL au hata ET na Emirates wamekubaliwa? [emoji1] Si huwa mnafunzwa kwa kiingereza kuanzia kidato cha kwanza? Sasa nikisema kwamba wote ambao hamkuelewa hata sentensi moja tu ya barua hiyo ni madrop out wa darasa la saba nimekosea? [emoji1]
unajitahidi kujibetua vizuri we mama
😂😂😂. Endelea kujikakamua
😂😂😂😂
 
Mshana hebu nifundishe jinsi ya kumix hii kitu wallahi.Make kuna rafiki yangu kipenzi aliwahi nidhulumu gari langu nilishindwa hata nifanye vipi aisee
 
Unadai Dar es Salaam umeacha alama itakayodumu milele??? Ni alama gani hiyo?

Ulikuwa mkuu wa mkoa ukilipwa mshahara na posho za kutosha hivyo ulikuwa ni wajibu wako kiwatumikia wananchi. Ukikuwa hutoi msaada.

Wapo wakuu wa mikoa waliopita kabla yako na walifanya mambo makubwa ndani ya jiji la Dar ila walikuwa hawachukui sifa kibinafsi, sifa zote walikuwa wanaipa serikali. Acha ubinafsi kijana. Walikuwepo wakuu wa mikoa wengi sana hapo Dar na walipita pasipo kujichukulia utukufu "eti nimeacha alama itakayodumu milele"

Baadhi yao ni:

Luteni Yusufu Makamba
Kapteni Ditopile Mzuzuri
Wiliam Lukuvi
Sebastian Kandoro
Mecky Sadick n.k

Punguza sifa bwana mdogo

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Wasukuma ndivyo walivyo hujui?
Unadai Dar es Salaam umeacha alama itakayodumu milele??? Ni alama gani hiyo?

Ulikuwa mkuu wa mkoa ukilipwa mshahara na posho za kutosha hivyo ulikuwa ni wajibu wako kiwatumikia wananchi. Ukikuwa hutoi msaada.

Wapo wakuu wa mikoa waliopita kabla yako na walifanya mambo makubwa ndani ya jiji la Dar ila walikuwa hawachukui sifa kibinafsi, sifa zote walikuwa wanaipa serikali. Acha ubinafsi kijana. Walikuwepo wakuu wa mikoa wengi sana hapo Dar na walipita pasipo kujichukulia utukufu "eti nimeacha alama itakayodumu milele"

Baadhi yao ni:

Luteni Yusufu Makamba
Kapteni Ditopile Mzuzuri
Wiliam Lukuvi
Sebastian Kandoro
Mecky Sadick n.k

Punguza sifa bwana mdogo

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Mimi nakumbuka alama iliyoachwa na John Mhaville.......Nguvu Kazi!
Abbas Kandoro sio Sebastian Kandoro
 
Jamani hiyo scopolamine ambayo ipo ready made tunaipata wapi mwenye connection
 
Back
Top Bottom