Scout toka ulaya: Simba vichekesho havita isha

Scout toka ulaya: Simba vichekesho havita isha

Sasa kinyesi fc mnaumia nini???mtu ndo kwanza kaajiriwa hajaleta hata mchezaji mmoja,kweli kuwa utopolo ni kipaji.
Msimu ujao mtaanza kulalamika kuwa tunatumia bahasha ......
 
Huyu scout mkuu mbali na kuwa mkuu wa mashabiki wa makolo kule kwao lakini pia alikuwa ni meneja wa kiwanda cha vibiriti cha mo huko kwao kwa hiyo ni mzuri katika kukiwasha.
Mudi sijui anawaza Nini[emoji38]
 
Huyo hapo akifanya scout kwenye mibuyu.
FB_IMG_1685155143885.jpg
 
Hebu tueleze scout wenu aliyewaletea mchezaji wa Epl mkakaa naye miezi sita au huyu aliyewaletea beki wa CAF Doumbia ambaye mpaka Sasa kocha hamwamini
 
Maoni ya mwanachama

Je huyu scout atasajiri wazungu (kina Dejan) kutoka uholanzi au wachezaji wa hapa hapa Africa [emoji38][emoji38]
...................................
Hivi Simba SC tuna akili kweli mtu alikuwa kiongozi wa mashabiki huko uholanzi leo kawa skauti ya usajili [emoji881] acha tuone kila msimu tunaanzaga hivi hivi mnatupumbaza mashabiki na ivi mshatufanya kama mashabiki wa UTOPOLO[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Fikiria timu haina mtu wa kufatilia mechi au mpinzani anaecheza na SIMBA yuko vipi mzuri wapi na anamazaifu yapi ndo mnaajili mshabiki tafuteni watu husika skauti ndiyo ilitakiwa kuboresha lakini so kwa kumchukua mshabiki kisa tu anaishi uholanzi wana simba na msimu huu tunapigwa za uso labda Mungu tu atusaidie [emoji120][emoji120][emoji120]

NB: huyu ni sawa kubwa[emoji38][emoji38]View attachment 2635296

Kwani scouting unaangalia utaifa au ni taaluma inayo base kwenye tactical na technique za player ?

Waafrica ficheni uzuzu
 
Back
Top Bottom