MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Aiseee, umesoma Lugalo kipindi cha marehemu Salingwa nini ???Kabla ya Mkwawa nimetoka Lugalo... Kutoka Kihesa,katishia Mtwivila kwenye vitindi hadi Makanyagio vilabuni
[emoji23][emoji23][emoji120]Ba mdogo[emoji4]
Aisee, huu wimbo umenikumbusha mbali sana......MALCOM LUMUMBA umecheka nini?😀
Wapi huko?Aisee, huu wimbo umenikumbusha mbali sana......
Kuna mtu wangu wa karibu alikuwa anaupenda sana huu wimbo....Wapi huko?
Ndiyo mkuu, mwaka wa mwisho nikamaliza mikononi mwa Kitemangu...Aiseee, umesoma Lugalo kipindi cha marehemu Salingwa nini ???
Vitindi vya Mtwivila vilikuwa ni hatari sana, siku naona vimepungua na wamewekewa hadi lami.....
Daah, Iringa niliishia miaka hiyo......Ndiyo mkuu, mwaka wa mwisho nikamaliza mikononi mwa Kitemangu...
Sijapita muda mrefu huko, serikali imejitahidi sana kuboresha miundo mbinu
Hivi ulipita kati hizo shule mbili au ni mmoja wa zile shule mbili pinzani? Tukiachana na UzunguniDaah, Iringa niliishia miaka hiyo......
Japo huwa naenda sana kuangalia baadhi ya mambo....
Hapana mkuu sikupita huko, mdogo wangu mmoja alisoma Lugalo na mwingine Tosamaganga.....Hivi ulipita kati hizo shule mbili au ni mmoja wa zile shule mbili pinzani? Tukiachana na Uzunguni
Daaah, bless your heart........