Msomali kaziniSean "Diddy" Combs was arrested in Manhattan on September 16, 2024, following a grand jury indictment related to an ongoing federal investigation involving allegations of sex trafficking, sexual assault, and other criminal activities. This arrest came after his properties were raided by federal agents earlier in the year
Nimekutana na hii habari asubuhi hii, naona FBI wamemkamata na kutokana na wenzetu hawakamati mtu ovyo ovyo. Ndio nauliza je kesi kesi za diddy ndio zimeanza kuchachamaa manake week iliyopita alihukumiwa fine ya dola million 100. Diddy ana tuhuma nyingi ikiwemo ya mauaji ya watu kama 2 PAC , club shooting iliyomuweka jela MSANII NA MWANASIASA KUTOKA BELIZE , SHYNE BARROW .Sijakuelewa, ungetoa intro kidogo kama una muda
Aaah hapo nimekuelewaNimekutana na hii habari asubuhi hii, naona FBI wamemkamata na kutokana na wenzetu hawakamati mtu ovyo ovyo. Ndio nauliza je kesi kesi za diddy ndio zimeanza kuchachamaa manake week iliyopita alihukumiwa fine ya dola million 100. Diddy ana tuhuma nyingi ikiwemo ya mauaji ya watu kama 2 PAC , club shooting iliyomuweka jela MSANII NA MWANASIASA KUTOKA BELIZE , SHYNE BARROW .
Kwa nchi za wenzetu, utazunguka zungukaaaaaaaa ila mwisho utajaa tu kwenye 18. Uwe na pesa au uwe kapuku wenzetu wembe ni ule uleTayari safari umeanza Sasa, kumekucha
Hasa ukiwa black na ukakataa kutumika.Kwa nchi za wenzetu, utazunguka zungukaaaaaaaa ila mwisho utajaa tu kwenye 18. Uwe na pesa au uwe kapuku wenzetu wembe ni ule ule
Kama CCM tuWanakutumia kama Big G kisha wanakutema,
Life ndio limesha potea hivyo P.Daddy.