Sebastian Haller, mchezaji wa Ivory Coast akipokelewa klabuni kwake baada ya kushinda AFCON

Sebastian Haller, mchezaji wa Ivory Coast akipokelewa klabuni kwake baada ya kushinda AFCON

Huyu jamaa ni kama Mungu amempa second chance ya kuishi,hali yake ilikua mbaya sana,

Always hope for the good kisha mtangulize Mungu.
Alistahili afanyiwe mapokezi mazuri,kwanza alipambana na kuishinda Cancer,akarudi Uwanjani na kuifungia Timu ya Taifa magoli muhimu kwenye Nusu Fainali na Fainali,hakika alistahili mapokezi mazuri
Pamoja na kwamba hiyo inaweza kuwa imechangia ila siyo yeye peke yake aliyepokelewa hivyo.

Hapa chini ni Simon Adingra, naye akipokewa na klabu yake ya Brighton baada ya kushinda AFCON na pia tuzo ya mchezaji bora kijana wa mashindano.

WhatsApp Image 2024-02-16 at 20.12.03.jpeg

WhatsApp Image 2024-02-16 at 20.12.52 (1).jpeg

WhatsApp Image 2024-02-16 at 20.12.52.jpeg
 
Sebastian Haller, mshambuliaji wa Ivory Coast aliyefunga magoli muhimu katika mechi za mwishoni zilizoipa Ivory Coast ubingwa wa AFCON 2023 amerudi kwenye klabu yake ya Borussia Dortmund na kupokelewa kwa staili hii.


View attachment 2905403
Mchezaji wa AFCON wa nchi yako amepokelewaje aliporudi klabuni kwake?

Nikinukuhu maneno kuntu ya Erythrocyte "Mungu wabariki Wazungu"
Wazungu watu kamili bhana isee hadi rahaa yaani..!
 
Back
Top Bottom