Sebastian Haller, mshambuliaji wa Ivory Coast aliyefunga magoli muhimu katika mechi za mwishoni zilizoipa Ivory Coast ubingwa wa AFCON 2023 amerudi kwenye klabu yake ya Borussia Dortmund na kupokelewa kwa staili hii.
View attachment 2905403
Mchezaji wa AFCON wa nchi yako amepokelewaje aliporudi klabuni kwake?
Nikinukuhu maneno kuntu ya
Erythrocyte "Mungu wabariki Wazungu"