Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ugonjwa wa kisasaAlikuwa ni mtu wa watu.Naomba wasifu wake.Alifariki na nini?
Kiharusi?Huu ugonjwa wa kisasa
Umetumia Avatar yangu aisee.
Motema na Ngai 😛Umetumia Avatar yangu aisee.
FigoKiharusi?
Nimekumbuka hii issue, ila marehemu huyu alikua muongeaji mzuri sana Mwijage anasubiri mbaali kabisadahh umenikumbusha mbali sana ..nakumbuka wakati ule ni waziri wa kazi ,kuna mlemavu mmoja alimvizia pale jengo la ofisi yake ile anatoka tu kwenye lift akamrukia akamsiliba mangumi na kumpiga ngeta kama wezi wa simu mwananymala ...aaah pumzika komredi kinyondo
This is very Biblical name. Kumbukumbu la Torati : Mlango 33Alijulikana kwa wengi kama kinyondo Bilenge byasa amabale-Miguu ivunjayo miamba,RIP Mzee!
Ilikuwa moja ya mashine za uhakika bungeni hiyo,pamoja na kina Tuntemeke Sanga .Huyu mzee nilimsikia nikiwa primary mwenye cv lake atuwekee hapa. Sifa yake kuu nasikia ilikuwa kuoiga mtemba kama watu wa cuba