Sebene linaponoga mambo huwa kama hivi!

Sebene linaponoga mambo huwa kama hivi!

Pape

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
5,487
Reaction score
83
1214635534tukiomsondowe.jpg
 
Vinaitwa Mkuki moyo au Mkwaju...vilipendwa sana zaman...Mzuka umempanda kweli kweli
 
sipati picha huyo jamaa mkewe akimuona jinsi anavyolitolea macho hilo ngongingo la huyo mceza shoo.
 
Ahahahahahahaaaah huyo mzee kapandwa na midadi ya sebene!
 
itabidi nianze kusoma vitabu vya Mwalimu, vilikuwa na maana na misingi ya utawala bora, any way guys huyu jamaa mzuka umempanda? au alikuwa amelewa tu, make kuna kuna kulewa na mzuka kupanda-----hii sehemu inaonyesha ni sehemu ya baa so jamaa alikuwa amelewa and not mzuka, halafu huyu mzee inaonekana aliruka step ndo maana unamwona mahali hapo na huo umri
 
Jamani baba wa watu kanogewa utadhani anacheza gwaride ..bila shaka ni afande huyo
 
duh!, kama angeruhusiwa kushika hayao mananihii ya huyo dada, mbona angemaliza hapao hapo!
 
Ayaaaaaaaaaaaaa,nomaaaaaaaaa,nomaaaaaaaaaaaa,nomaaaaaaaaaaaaaa wajameni!!!
 
Back
Top Bottom