Second Local Ventilator Hits Market.

Ila na wewe haya umeandika ni matusi ya nguoni, hakuna tofauti kati yake na wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app


Yeye ndiye alianza kunitusi kabla, na mimi nilikuwa na haki ya kujitetea kwa kujibu, by the way, ilinipasa nieleze ukweli ambao yeye au watu wengi hawaujui kwamba; " Mtu yeyote mwenye mazoea, tabia, hulka, desturi ya kutukana watu MATUSI YA NGUONI aghalabu uzao wake una mashaka kama jinsi nilivyoeleza hapo juu.

Hii ni njia moja ya kumfanya ajitathmini na ajirekebishe , sasa angalia majibu yake atakayotoa kwenye hii post, hawezi kuniita mjinga bali lazima atatumia tusi la nguoni, na jambo hilo lina m-characterise kwamba yeye ni Bastard, and that's a typical sign of bastardism. Frankly speaking I am not intending to annoy him or abuse him, that is a fact I am talking about.
 
We stupid kuja kipande hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila bahati haiwi mbaya ,siku zote bahati ni nzuri,hio Inakua nuksi,kwa nuksi condom ikapasuka na akazaliwa,ashukuriwe Mungu mamake kakosa dawa ya kutoa.
Wewe enyewe mama yako alikua changudoa mkodisha uchi. Shukuru sana condom ilipasuka ndio ukapatikana ki bahat mbaya. Kuwa na heshima mwana wa condom

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mimi ningekuwa kiongozi mkuu wa nchi vyuo vyote vya ufundi na sijui maprofesa au madokta au wahandisi huu ndio wakati wangeipatapata.

Ningetoa amri mwezi mmoja au walau muda watakao hitaji, leteni hapa mashine!

Wataalamu wa virusi na magonjwa yake nao wangepata homework nzuri!

Hii habari ya kusubiri mzungu au WHO siyo mkakati kabisa.

Hao wazungu na WHO wangepewa tu changamoto ya kuthibitisha kisayansi kwamba tulichoibua au kutengeneza kinafanya kazi au hapana, basi.

Hongera hao watu wa Kenya waliotengeneza mashine.

Na hii iwe ni chachu kwa nchi zetu za kiafrika kujitegemea kwenye mambo nyeti kama haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A lazy person whom you depend on importing maize and other food stuffs.??
Mama Ngina 's daughter, are you serious?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Africa tunaweza, ila tu tunasubiri majanga yatupate kisawasawa ndio tutumie akili zetu.

Anyways, nasikia Kenye mnatumia 1 billion ksh ku fight Covid per day, ila karantini nimeona picha iko kuliko gereza la criminals in terms of conditions. Nini Tatizo? au kuna watu wamehalalisha njia ya kula izo bilioni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…